Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Salaam ndugu zangu,
Nimekutana na video hii nikaona sio mbaya nikiwaonesha nanyi ili mchukue tahadhari. Ni muhimu sana kusafisha vyombo au kusuuza kabla ya kuvitumia kutokana na kutembelewa na wadudu tusiowafahamu. Tazama hapa chini mjusi na mende wanachofanya.
Nimekutana na video hii nikaona sio mbaya nikiwaonesha nanyi ili mchukue tahadhari. Ni muhimu sana kusafisha vyombo au kusuuza kabla ya kuvitumia kutokana na kutembelewa na wadudu tusiowafahamu. Tazama hapa chini mjusi na mende wanachofanya.