Tusichekane tunapokosea Kiingereza

Tusichekane tunapokosea Kiingereza

Job K

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
9,314
Reaction score
7,149
Kumbe hata Wazungu nao cha kuandika kinawagonga! Oneni hiki kama kiko grammatical

"Bye bye ! If your a fan only when a team is winning then your not really a fan that our great club wants"
 
kukosea kupo aisee tena lugha zote tu, mm pia kuna watu wananicheka kisa sijui kuandika kiswahili vizuri.[emoji17]
 
Asiyekosea ni Allah tu na kwa atakaye kujifunza asiogope kuchekwa. Mwenye kujua mambo hata siku moja hamcheki mwenye kukosea.
 
Kwani we hapo umeelewaje? Au hebu toa grammatical error ya hiyo statement
Wewe hapo unaona kiko sawa? Basi tukubali kiko sawa, maana huko Lumumba mna unyafuzi wa Kiingereza!
 
Wewe hapo unaona kiko sawa? Basi tukubali kiko sawa, maana huko Lumumba mna unyafuzi wa Kiingereza!
Dogo acha ushoga mambo ya lumbumba yanaingiaje hapa hivi unafikiri kila mtu anawaza siasa.
Hyo statement alichokosea ni hilo neno 'YOUR' badala ya 'YOU ARE'
 
Sio Wazungu wote wanajua kingereza. Ni sawa na kumshangaa Mganda kutokujua Kiswahili
 
Dogo acha ushoga mambo ya lumbumba yanaingiaje hapa hivi unafikiri kila mtu anawaza siasa.
Hyo statement alichokosea ni hilo neno 'YOUR' badala ya 'YOU ARE'
Sasa ulikuwa unasemaje kwamba huoni grammatical error kwenye hiyo statement?
 
Back
Top Bottom