ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Matumaini yangu mu wazima kabisa,kwa waliofunga hongera sana,mungu ni mwema karibu mtaanza kula lunch.
Hoja niliyo weka ukumbini jana ilihusu kujisomea vitabu,asante kwa wote mlioshiriki.
Naomba tuendelee kama ifuatavyo,je kuna faida gani ya kusoma vitabu? Kama hakuna faida kuna hasara gani?hapa na maana kuwa ukisoma unapata nini na usiposoma unapungukiwa nini.
Tafadhali tujadili kwa amani.
Hoja niliyo weka ukumbini jana ilihusu kujisomea vitabu,asante kwa wote mlioshiriki.
Naomba tuendelee kama ifuatavyo,je kuna faida gani ya kusoma vitabu? Kama hakuna faida kuna hasara gani?hapa na maana kuwa ukisoma unapata nini na usiposoma unapungukiwa nini.
Tafadhali tujadili kwa amani.