Tusidangabyane 95% ya Watanzania 'Boxing Day' yetu ya leo tunaenda nayo kwa Mtiririko huu Ufuatao.....

Tusidangabyane 95% ya Watanzania 'Boxing Day' yetu ya leo tunaenda nayo kwa Mtiririko huu Ufuatao.....

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya Kutokualikwa Krisimasi jana kutokana na Hali Ngumu ya Kimaisha iliyoko kwa 95% ya Watanzania

2. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya kutopata Hela ya Kutatua taabu zako za kulipia Kodi unakoishi, kujaza Mafuta Gari lako la Mkopo na Kulipia Chumba Gesti baada ya Kuokota Goma ( Malaya ) uliyoomba.

3. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya Jana Krisimasi kupakaa Vumbi la Kongo ili uje Kumnyoosha na Kumkomoa Mtu halafu kwa Kuchezwa Kwake Machale hakuja.

4. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya Kutonunuliwa Nguo, Viatu na Vinginevyo na Mumeo au Mpenzi wako.

5. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya Jana Krisimasi kushindia Ugali, Tembele na Dagaa la Mwanza ( hii inanigusa GENTAMYCINE kwa 100%. )

6. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya Wageni kujitokeza kwa wingi Kwako jana Krisimasi na Kumaliza Chakula chote wakati Wewe ulikipangilia hadi leo Kiwepo ili uokoe gharama na usiharibu Bajeti yako.

7. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya Jana Krisimasi kumtaka Mwamba avae Condom ila Yeye ( Hawara ) Kauza Mechi mazima ( Kavu Kavu ) hivyo sasa hujui kuwa ameshakuvimbisha Tumbo lako au ameshakuachia Virusi HATARI vya 1981 kwa mujibu wa WHO.

Kuwa Huru tu nawe Kuongezea zako.
 
Back
Top Bottom