Tusidanganyane baada ya Simba SC Kufngwa tena na Yanga SC Ligi Kuu ya NBC imeshakosa Muto hivyo Yanga SC wapewe tu Kombe lao tuendelee na Mengineyo

Tusidanganyane baada ya Simba SC Kufngwa tena na Yanga SC Ligi Kuu ya NBC imeshakosa Muto hivyo Yanga SC wapewe tu Kombe lao tuendelee na Mengineyo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Niliandika hapa hapa JamiiFoums na tena mwaka huu huu kuwa ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo atakataa kuwa Yanga SC inaenda tena kuwa Bingwa wa NBC Premier League kwa mwaka wa Tatu mfululizo na huenda hata na Msimu ujao kutokana na Upuuzi mkubwa ulioko Simba SC wakawa Mabingwa tena.

Kama kawaida kuna Wapumbavu wasiojua kuwa GENTAMYCINE nina Upako mkubwa na Maono makali ya Kubariki na Kutabiri wakanikatalia na kama kawaida yao wakaanza Kunitusi, Kunidhalilisha na Kunidhihaki Mbarikiwa Mimi ambaye Mungu Kiasili kaniumba kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hivi.

Sijui ni lini mtanijengea Sanamu langu kwani nawatangulieni katika Taarifa nyingi za Kimatukio na zile Muhimu mno pia.
 
[emoji23][emoji23]Genta mzee wa upako
 
Niliandika hapa hapa JamiiFoums na tena mwaka huu huu kuwa ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo atakataa kuwa Yanga SC inaenda tena kuwa Bingwa wa NBC Premier League kwa mwaka wa Tatu mfululizo na huenda hata na Msimu ujao kutokana na Upuuzi mkubwa ulioko Simba SC wakawa Mabingwa tena.

Kama kawaida kuna Wapumbavu wasiojua kuwa GENTAMYCINE nina Upako mkubwa na Maono makali ya Kubariki na Kutabiri wakanikatalia na kama kawaida yao wakaanza Kunitusi, Kunidhalilisha na Kunidhihaki Mbarikiwa Mimi ambaye Mungu Kiasili kaniumba kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hivi.

Sijui ni lini mtanijengea Sanamu langu kwani nawatangulieni katika Taarifa nyingi za Kimatukio na zile Muhimu mno pia.
hapana genta acha simba wawe wa pili,azam mie siwapendi
 
Back
Top Bottom