GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nimerudia Kiumakini kabisa na taratibu Kuangalia Mkanda mzima wa Pambano na Bondia Mtanzania Mwakinyo na Mfilipino na Kugundua ya kwamba Bondia Mwakinyo alizidiwa Alama ( Points ) Nne ( 4 ) zaidi Mpinzani wake Bondia Mfilipino.
Hivyo basi Mimi GENTAMYCINE Mtanzania pekee nisiyependa Unafiki na Uwongo natangaza rasmi Mshindi wangu ni Bondia Mfilipino na siyo Bondia Mtanzania anayebebwa mno na ' Promo ' huku pia akitumika kama ' Turufu ' ya Kisiasa na Chama Dola.
Kwangu Mimi Bondia mahiri kwa sasa nchini Tanzania ni Dula Mbabe pekee. Mtasemaje Bondia Mwakinyo ni mzuri na anajua Kupigana wakati jana muda wote tu alikuwa anautumia Kujikinga na Kuzungukazunguka tu Ulingoni kama Inzi wa Hotelini? Acheni Kumpamba hajui Ngumi na hata Mimi nikijifua na huu ' Umusoma / Umara ' wangu ' Ulionitukuka nampasua ' mapema.
Hivyo basi Mimi GENTAMYCINE Mtanzania pekee nisiyependa Unafiki na Uwongo natangaza rasmi Mshindi wangu ni Bondia Mfilipino na siyo Bondia Mtanzania anayebebwa mno na ' Promo ' huku pia akitumika kama ' Turufu ' ya Kisiasa na Chama Dola.
Kwangu Mimi Bondia mahiri kwa sasa nchini Tanzania ni Dula Mbabe pekee. Mtasemaje Bondia Mwakinyo ni mzuri na anajua Kupigana wakati jana muda wote tu alikuwa anautumia Kujikinga na Kuzungukazunguka tu Ulingoni kama Inzi wa Hotelini? Acheni Kumpamba hajui Ngumi na hata Mimi nikijifua na huu ' Umusoma / Umara ' wangu ' Ulionitukuka nampasua ' mapema.