Tusidanganyane wala kumlaumu mtu, Algeria sio 'level' yetu, tumecheza nao kwa sababu sheria imetutaka hivyo

Tusidanganyane wala kumlaumu mtu, Algeria sio 'level' yetu, tumecheza nao kwa sababu sheria imetutaka hivyo

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Algeria ni nchi yenye mafanikio makubwa kisoka kama ilivyo Egypt, Morocco, na Tunisia.Ni nchi ambayo inaweza kuomba mechi ya kirafiki na Brazil ikakubaliwa bila masharti, inaweza kuomba mechi ya kirafiki na England na hata Italia au Germany na ikashinda au kutoa sare.Ina wachezaji wanaotambulika ulimwenguni akiwemo winga wa Man City, Mahrez, ina wachezaji wanaochezea vilabu vikubwa hapa afrika na ulaya, Algeria iko karibu na ulaya, ina kila facilities katika soka.

Leo imeiadhibu vikali Taifa Stars, kama ilivyofanya kwa Uganda.Kiukweli Leo Stars ingeifunga Algeria, vyombo vya habari vya kimataifa vingeweka mjadala, hata kocha wa Algeria angeweza kupoteza kazi, Stars imejitahidi sana, imepambana mno, lawama kwa kocha Kim Poulsen kuwa hakumpanga Farid Mussa, cjui Sure Boy angeanza, cjui angemtoa Mzamiru na kumuacha Fei Toto ni upopoma wa hali ya juu.
 
Algeria ni nchi yenye mafanikio makubwa kisoka kama ilivyo Egypt, Morocco, na Tunisia.Ni nchi ambayo inaweza kuomba mechi ya kirafiki na Brazil ikakubaliwa bila masharti, inaweza kuomba mechi ya kirafiki na England na hata Italia au Germany na ikashinda au kutoa sare.Ina wachezaji wanaotambulika ulimwenguni akiwemo winga wa Man City, Mahrez, ina wachezaji wanaochezea vilabu vikubwa hapa afrika na ulaya, Algeria iko karibu na ulaya, ina kila facilities katika soka.

Leo imeiadhibu vikali Taifa Stars, kama ilivyofanya kwa Uganda.Kiukweli Leo Stars ingeifunga Algeria, vyombo vya habari vya kimataifa vingeweka mjadala, hata kocha wa Algeria angeweza kupoteza kazi, Stars imejitahidi sana, imepambana mno, lawama kwa kocha Kim Poulsen kuwa hakumpanga Farid Mussa, cjui Sure Boy angeanza, cjui angemtoa Mzamiru na kumuacha Fei Toto ni upopoma wa hali ya juu.
Umemaliza mkuu,mm bado naomna Kocha anajitqhidi saaaaana!
 
Chumvi imezidi yaani Algeria hii iliyozabuliwa na Cameroon ndo iwafunge Germany na England?

Sometime wabongo kinachotucost ndo hiki, chumvi nyingi na kujifanya tunajua sana..
 
Chumvi imezidi yaani Algeria hii iliyozabuliwa na Cameroon ndo iwafunge Germany na England?

Sometime wabongo kinachotucost ndo hiki, chumvi nyingi na kujifanya tunajua sana..
Kwaiyo unataka utufananishe na Cameroon!! Algeria na Cameroon uzito wao uko sawa sisi hatufikii ata nusu ya uwezo wao.
Ligi ya Algeria inaushindani kuliko yetu ila walikuweopo wachezaji wa 4 ambao hakuna aliye anza first eleven.
Tutengeneze mazingira ya wachezaji wetu wengi wawe wanapata nafasi za kucheza Ulaya itatusaidia kuleta ushindani Kwa vigogo.
 
Sasa kama mnahalalisha kufungwa na hii Algeria mbovu mbovu mnataka kwenda Afcon kufanya nini? Hii Algeria iliyoishia kwenye makundi na point 1 nyuma ya Siera leon na Equatorial Guinea?
 
Watanzania wanajidanganya utafikiri timu yao no kubwa na INA wachezaji wakubwa, UK walituharibu sana kwa propaganda
 
Algeria ni nchi yenye mafanikio makubwa kisoka kama ilivyo Egypt, Morocco, na Tunisia.Ni nchi ambayo inaweza kuomba mechi ya kirafiki na Brazil ikakubaliwa bila masharti, inaweza kuomba mechi ya kirafiki na England na hata Italia au Germany na ikashinda au kutoa sare.Ina wachezaji wanaotambulika ulimwenguni akiwemo winga wa Man City, Mahrez, ina wachezaji wanaochezea vilabu vikubwa hapa afrika na ulaya, Algeria iko karibu na ulaya, ina kila facilities katika soka.

Leo imeiadhibu vikali Taifa Stars, kama ilivyofanya kwa Uganda.Kiukweli Leo Stars ingeifunga Algeria, vyombo vya habari vya kimataifa vingeweka mjadala, hata kocha wa Algeria angeweza kupoteza kazi, Stars imejitahidi sana, imepambana mno, lawama kwa kocha Kim Poulsen kuwa hakumpanga Farid Mussa, cjui Sure Boy angeanza, cjui angemtoa Mzamiru na kumuacha Fei Toto ni upopoma wa hali ya juu.
Selection ya line up has nothing to do with quality ya algeria and very thing to do with poor decision making ya kim.

Sawa algeria ni wazuri na kufungwa tulijua tutafungwa. Sasa kama unajua utafungwa kwa nini usicheze tuu maana ataukipigwa tano wala hatutashangaa. Kitendo cha kuwa defensive ukiwa kwako hiyo ni uamuzi wa kocha na sio tuu ubora wa algeria.

Una striker anayeongoza kwa ufungaji magoli kwenye ligi amefunga goli away match siku nne nyuma unaachaje kumuanzisha wakati wewe unacheza nyumbani?
Kulikuwa kwwli na ulazima wa kuanza na too defensive midfielders, mzamiru na dismas? Aya ata kama alikuwa na mkakati wakufunga mchezo first half...baada ya algeria kuoata goli alitakiwa half time atoe mmoja kati ya wale modfielders wawili maana u r now chasing the game. Subs zilichelewa kufanywa, another indication ya defensive mentality ya kocha.

Kweli kwa akili zetu utamuanzisha mchezaji hana timu umeache mpole nje? Sihitaji kuwa kocha kufanya maamuzi sahihi hapo. Hapa ndio ile dhana ya makocha kuwa mawakala inapojiomyesha. Hamna namna kim anaweza tetea uamuzi wake wakumuanzisha msuva over mpole other than kusema yeye na wakala wa msuva wana jambo lao
 
Algeria ni nchi yenye mafanikio makubwa kisoka kama ilivyo Egypt, Morocco, na Tunisia.Ni nchi ambayo inaweza kuomba mechi ya kirafiki na Brazil ikakubaliwa bila masharti, inaweza kuomba mechi ya kirafiki na England na hata Italia au Germany na ikashinda au kutoa sare.Ina wachezaji wanaotambulika ulimwenguni akiwemo winga wa Man City, Mahrez, ina wachezaji wanaochezea vilabu vikubwa hapa afrika na ulaya, Algeria iko karibu na ulaya, ina kila facilities katika soka.

Leo imeiadhibu vikali Taifa Stars, kama ilivyofanya kwa Uganda.Kiukweli Leo Stars ingeifunga Algeria, vyombo vya habari vya kimataifa vingeweka mjadala, hata kocha wa Algeria angeweza kupoteza kazi, Stars imejitahidi sana, imepambana mno, lawama kwa kocha Kim Poulsen kuwa hakumpanga Farid Mussa, cjui Sure Boy angeanza, cjui angemtoa Mzamiru na kumuacha Fei Toto ni upopoma wa hali ya juu.
Chai imezidi tangawizi, Algeria ni moja ya timu kubwa kwa Afrika, nje ya hapo, siyo timu bali a group of players.
 
Hata aje kocha gani duniani hatuwezi kuifunga hata U23 ya algeria, huwezi kutoka tu huko halafu ukatarajia matokeo mazuri kwa timu Kama yetu...timu inataka quality players kweli siyo quality with doubt.
 
Algeria ni nchi yenye mafanikio makubwa kisoka kama ilivyo Egypt, Morocco, na Tunisia.Ni nchi ambayo inaweza kuomba mechi ya kirafiki na Brazil ikakubaliwa bila masharti, inaweza kuomba mechi ya kirafiki na England na hata Italia au Germany na ikashinda au kutoa sare.Ina wachezaji wanaotambulika ulimwenguni akiwemo winga wa Man City, Mahrez, ina wachezaji wanaochezea vilabu vikubwa hapa afrika na ulaya, Algeria iko karibu na ulaya, ina kila facilities katika soka.

Leo imeiadhibu vikali Taifa Stars, kama ilivyofanya kwa Uganda.Kiukweli Leo Stars ingeifunga Algeria, vyombo vya habari vya kimataifa vingeweka mjadala, hata kocha wa Algeria angeweza kupoteza kazi, Stars imejitahidi sana, imepambana mno, lawama kwa kocha Kim Poulsen kuwa hakumpanga Farid Mussa, cjui Sure Boy angeanza, cjui angemtoa Mzamiru na kumuacha Fei Toto ni upopoma wa hali ya juu.
Nawashangaa wanaomlaumu kocha. Uwezo wa wachezaji wetu ndiyo umeishia hapo
 
Back
Top Bottom