peche luke
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 365
- 106
Kwa mambo yanavyoendelea sasa kuna kila uwezekano kuwa hadi 2015 tutakua hatujapata katiba. Ushauri wangu tuone uwezekano wa kuongeza muda wa uongozi tulio nao sasa mpaka tuwe na katiba itakayo ridhiwa na wote.
Angalizo muda tutakoongeza usizidi miaka mitano tu basi.
Angalizo muda tutakoongeza usizidi miaka mitano tu basi.