Tusifichane Mpango wala hajachoka, ila kuwa Kwake Mkweli na kuwa 'Team Hayati 5th Phase President' ndiko Kumemgharimu

Tusifichane Mpango wala hajachoka, ila kuwa Kwake Mkweli na kuwa 'Team Hayati 5th Phase President' ndiko Kumemgharimu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama kachoka kweli mbona hajasema kuwa Kachoka kuwa Mbunge huko aliko na bado tena mwakani anagombea? Na hili ndilo limekuwa tatizo lenu wana CCM japo Mimi si Mwanachama wenu ila ni Shabiki yenu ni kwamba mnapenda na sijui kwanini kudhani kuwa Watanzania wote hatuna Akili na hatujui mambo.
 
Kama kachoka kweli mbona hajasema kuwa Kachoka kuwa Mbunge huko aliko na bado tena mwakani anagombea? Na hili ndilo limekuwa tatizo lenu wana CCM japo Mimi si Mwanachama wenu ila ni Shabiki yenu ni kwamba mnapenda na sijui kwanini kudhani kuwa Watanzania wote hatuna Akili na hatujui mambo.
Kwani Hadi anateuliwa mara ya kwanza alikuwa Timu nani? Kwa hiyo wengine wote waliosalia ni Timu nani?

Acha ujinga kisa walioshika Dola huwapensi.
 
Kama kachoka kweli mbona hajasema kuwa Kachoka kuwa Mbunge huko aliko na bado tena mwakani anagombea? Na hili ndilo limekuwa tatizo lenu wana CCM japo Mimi si Mwanachama wenu ila ni Shabiki yenu ni kwamba mnapenda na sijui kwanini kudhani kuwa Watanzania wote hatuna Akili na hatujui mambo.
Sisi watz tunaakili mkuu na tunajua na hilo tunajua!!

Alipokaa kimya kuhusu DP world nikajua TU hapa Kuna jambo!!

Mzee wassira aliingia mzigoni kunadi do world bila aibu kwahiyo kuula huo umakam sijashangaa!!

Mpango kujiuzulu anatoa nafasi Kwa office nyeti kufanya kazi yao kuu iliyotukuka ambayo SI vema akawa kwenye mpangokazi!
 
Mpango ana mipango ya kujipanga na mapunziko ya uzeeni

Tunamshukuru kwa utumishi wake

Mwenyezi Mungu aendelee kumpa afya njema
 
Back
Top Bottom