Tusigeze kila kitu kutoka kwa Wazungu

Tusigeze kila kitu kutoka kwa Wazungu

fyddell

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
12,026
Reaction score
22,549
1482520023005.jpg


Ifikie kipindi waafrika tufanye vitu kutokana na mazingira yetu yanayotuzunguka na si kugeza kinachofanywa na wazungu kutokana na mazingira yao. Mimi binafsi nawatakia Christmass njema ndugu zangu na huu ndo mti nikiowatumia, unapatikana hapa hapa Tanzania
 
Blank page said:
iiiii mkuu,apples?
Sio Apple mkuu, kwa kule mbeya wanaita mafyuris sijajua mikoa mingine kama ya Kilimanjaro kuke wanaitaje maana ndio maeneo yanayostawi kwa wingi sana.
 
Christmass nna mpango wa kula hayo na kunywa maji skukuu imeishaa
 
Yanaitwa Plum kwa Lungha ya malkia Elizabeth.
Mkuu haya sio plum fruits bali ni jamii ya matunda flani hivi yapatikanayo katika sehemu zenye rutuba nyingi na mvua za kutosha through out the year. Najaribu kukumbuka its scientific name silipati ila soon nitakujulisha na kuyaelezea vizuri zaidi.
 
Back
Top Bottom