Iliobaki ni kudanganyana na kuibiana yaani hakuna faida hata ya kuwa na waziri wa kilimo,wa nini? hana jipya wala uwezo wa kutufanyia lolote, kama ni mbio tumeshapitwa na tumeshachoka utampitaje alie kupita?
Mazao yetu hayana kiwango cha kuuzwa nchi zanje kwa sababu wizara ya Kilimo wao ni kugawa mbegu na wenyewe wanaona wamefanya au wanafanya jambo kuuuuuuwbwa, ni sifuri wafunge wizara kwa kilimo cha kula wenyewe hatuhitaji mabwana shamba koko wachumia matumbo yao.
Machungwa yanatuozea, mananasi yanatuozea yaani matunda kibao yanatuozea mashambani na mikononi, wizara haina mikakati ya kusababisha bidhaa kusafirishwa majuu na uwekezaji tulionao ni sifuri,
Ndugu zanguni ingieni kwenye guguli muangalie matunda yanavyotayarishwa na kuweza kufikia kiwango cha kukubalika, mashamba ya minanasi huoni mwisho, mashamba ya miembe utadhani shamba la mkonge miembe ilivyopangana huoni mwisho, watu wanavuna kwa mashine, michungwa, migomba.
Sasa kama haitoshi kutoka shambani tunda hupelekwa kwenye usafi wa kulisafisha tunda na kufuatiliwa na packing and packaging, hapa kwetu likitoka shambani limesafiri limefika chalinze kwa mlaji, chungwa linafika hadi south Sudani sisi hufikisha Kenya Wakenya husonga zaidi. Kenya wakifunga mipaka bidhaa zinaoza kwenye malori.
Hizi TV zetu zituonyeshe vilimo vya kisasa wachukue hata video za youtube wazirushe zitatusaidia kupanua wigo wa mawazo na kachana na hawa mawaziri wajaza baraza.
Mazao yetu hayana kiwango cha kuuzwa nchi zanje kwa sababu wizara ya Kilimo wao ni kugawa mbegu na wenyewe wanaona wamefanya au wanafanya jambo kuuuuuuwbwa, ni sifuri wafunge wizara kwa kilimo cha kula wenyewe hatuhitaji mabwana shamba koko wachumia matumbo yao.
Machungwa yanatuozea, mananasi yanatuozea yaani matunda kibao yanatuozea mashambani na mikononi, wizara haina mikakati ya kusababisha bidhaa kusafirishwa majuu na uwekezaji tulionao ni sifuri,
Ndugu zanguni ingieni kwenye guguli muangalie matunda yanavyotayarishwa na kuweza kufikia kiwango cha kukubalika, mashamba ya minanasi huoni mwisho, mashamba ya miembe utadhani shamba la mkonge miembe ilivyopangana huoni mwisho, watu wanavuna kwa mashine, michungwa, migomba.
Sasa kama haitoshi kutoka shambani tunda hupelekwa kwenye usafi wa kulisafisha tunda na kufuatiliwa na packing and packaging, hapa kwetu likitoka shambani limesafiri limefika chalinze kwa mlaji, chungwa linafika hadi south Sudani sisi hufikisha Kenya Wakenya husonga zaidi. Kenya wakifunga mipaka bidhaa zinaoza kwenye malori.
Hizi TV zetu zituonyeshe vilimo vya kisasa wachukue hata video za youtube wazirushe zitatusaidia kupanua wigo wa mawazo na kachana na hawa mawaziri wajaza baraza.