Kwa kujibu wa maelezo yake, Manara kasema alikosea kujibizana na Karia (pamoja na kuwa Karia ndiye aliyemuanza). Hajakiri kumtukana Karia. Mpaka sasa hayupo aliyethibitisha matusi kutoka kwa Manara.
Hata kama tunamchukia Manara, tujaribu kusikiliza vizuri. Tusijifanye viziwi
Hata kama tunamchukia Manara, tujaribu kusikiliza vizuri. Tusijifanye viziwi