Sawa. Lkn mtu anyejiita Bin Kazumari anamkosea sana Haji Manara. Aliutangazia umma kuwa Haji kamtukana Karia. Lkn hadi leo hajathibitisha. Kujibizana sio kutukananaSawa, ila maamuzi yatatolewa na tume ya maadili
Kwa hiyo hilo shauri limefunguliwa kutokana na ushahidi wa KAZUMARI?Sawa. Lkn mtu anyejiita Bin Kazumari anamkosea sana Haji Manara. Aliutangazia umma kuwa Haji kamtukana Karia. Lkn hadi leo hajathibitisha. Kujibizana sio kutukanana
Bin kazumari ndio mwandishi pekee WA mpira asieogopa mtu, ndio mana wakati wengine wameufyata yeye peke yake ndio kasimama,Sawa. Lkn mtu anyejiita Bin Kazumari anamkosea sana Haji Manara. Aliutangazia umma kuwa Haji kamtukana Karia. Lkn hadi leo hajathibitisha. Kujibizana sio kutukanana
Sijui unadefine vipi "watu wenye akili"Ndio maana nasema Manara ana akili sana yule Jamaa.
Huu ni mtego kwa kamati ya maadili.
Kazumari kashikilia hoja yake kuwa Manara alitoa matusi. Lkn hajathibitisha hadi leo. Kwani kila aombaye msamaha ametukana?Kwa hiyo hilo shauri limefunguliwa kutokana na ushahidi wa KAZUMARI?
Sasa aliomba radhi kwa kosa gani?Sawa. Lkn mtu anyejiita Bin Kazumari anamkosea sana Haji Manara. Aliutangazia umma kuwa Haji kamtukana Karia. Lkn hadi leo hajathibitisha. Kujibizana sio kutukanana