Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwema Wakuu!
Leo sina mengi ya kusema,
Mada tajwa hapo yahusika.
Akili ni jua
Elimu ni mwezi.
Jua Kwa 90% ni kitovu cha uhai WA viumbe.
Wenye Elimu msijisahau, Elimu sio Akili.
Elimu haizai Akili isipokuwa Akili ndio inazaa Elimu.
Elimu ni Kama mwezi, unasharabu mwanga kutoka kwenye Jua/Akili.
Mtu anaweza akaishi pasipo Elimu, Kama vile maisha yanaweza kuendelea pasipo na mwezi.
Lakini kamwe mtu hawezi ishi pasipo Akili.
Niwatakie jioni njema.
Leo nipo Mlimani City, aliyekaribu anaweza ni-join tufurahi pamoja.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Mlimani City, DAR ES SALAAM
Leo sina mengi ya kusema,
Mada tajwa hapo yahusika.
Akili ni jua
Elimu ni mwezi.
Jua Kwa 90% ni kitovu cha uhai WA viumbe.
Wenye Elimu msijisahau, Elimu sio Akili.
Elimu haizai Akili isipokuwa Akili ndio inazaa Elimu.
Elimu ni Kama mwezi, unasharabu mwanga kutoka kwenye Jua/Akili.
Mtu anaweza akaishi pasipo Elimu, Kama vile maisha yanaweza kuendelea pasipo na mwezi.
Lakini kamwe mtu hawezi ishi pasipo Akili.
Niwatakie jioni njema.
Leo nipo Mlimani City, aliyekaribu anaweza ni-join tufurahi pamoja.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Mlimani City, DAR ES SALAAM