Tusijisahaulishe; Akili na elimu ni kama Jua na Mwezi

Tusijisahaulishe; Akili na elimu ni kama Jua na Mwezi

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Leo sina mengi ya kusema,
Mada tajwa hapo yahusika.

Akili ni jua
Elimu ni mwezi.

Jua Kwa 90% ni kitovu cha uhai WA viumbe.

Wenye Elimu msijisahau, Elimu sio Akili.
Elimu haizai Akili isipokuwa Akili ndio inazaa Elimu.

Elimu ni Kama mwezi, unasharabu mwanga kutoka kwenye Jua/Akili.

Mtu anaweza akaishi pasipo Elimu, Kama vile maisha yanaweza kuendelea pasipo na mwezi.
Lakini kamwe mtu hawezi ishi pasipo Akili.


Niwatakie jioni njema.

Leo nipo Mlimani City, aliyekaribu anaweza ni-join tufurahi pamoja.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Mlimani City, DAR ES SALAAM
 
Asante kwa bandiko lako, huwa napenda kusoma bandiko zako,
 
Kwema Wakuu!

Leo sina mengi ya kusema,
Mada tajwa hapo yahusika.

Akili ni jua
Elimu ni mwezi.

Jua Kwa 90% ni kitovu cha uhai WA viumbe.

Wenye Elimu msijisahau, Elimu sio Akili.
Elimu haizai Akili isipokuwa Akili ndio inazaa Elimu.

Elimu ni Kama mwezi, unasharabu mwanga kutoka kwenye Jua/Akili.

Mtu anaweza akaishi pasipo Elimu, Kama vile maisha yanaweza kuendelea pasipo na mwezi.
Lakini kamwe mtu hawezi ishi pasipo Akili.


Niwatakie jioni njema.

Leo nipo Mlimani City, aliyekaribu anaweza ni-join tufurahi pamoja.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Mlimani City, DAR ES SALAAM

257251398_101218759060988_8030535071526965380_n.jpg
 
Kila mtu ana elimu
Kila mtu ana akili
Tunatofautiana elimu, hata kama mtu hajaenda shule haina maana hana elimu/akili .
 
Back
Top Bottom