Tusingekuwa tunaangalia video za ngono Kuna vingi tusingevijua

Tusingekuwa tunaangalia video za ngono Kuna vingi tusingevijua

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Kuna vitu tulipaswa tusivione wala kuvijua kabisa kwa usalama wetu kwa bahati mbaya au nzuri likaja jitu linaloitwa mtandao(INTERNET) lijuzi la kila kitu kuanzia mazuri mpaka mabaya ingekuwa zama za kina Adam na Hawa basi lile tunda la kati ndio internet yenyewe.

Porno zimeimpact lifestyle ya mwanadamu wengi nikiwemo mimi tuliona vitu kwenye video za ngono tukaenda practice vitu kama kucheza na tope ni direct effect ya video za ngono.

Kuna categories za porn zinaogopesha hususani kwa ustawi wa jamii ya kiumeni ila ndio baadhi ya video zinazoongoza kuwa na views no kubwa.

Tuwape maua yao TCRA kwa kutoruhusu direct access ya porn sites maana licha ya Kuban still hali ni mbaya how comes wasingefanya hivyo ingekuwa zaidi ya nightmare.
markup_1000098927.png
Mashariki ya kati wana balaaa..
 
Porno zimeimpact lifestyle ya mwanadamu wengi nikiwemo mimi tuliona vitu kwenye video za ngono tukaenda practice vitu kama kucheza na tope ni direct effect ya video za ngono.
Naunga Mkono hoja.

Tofauti kubwa iliyopo kati ya Binadamu na wanyama tokea Dunia imeumbwa ni kwamba "Binadamu wanafanya Mapenzi/Sex wakiwa wanatazamana ana kwa ana, Na WANYAMA wanafanya tendo hilo kutokea kwa nyuma".

Vitendo vya kuchezea tope kuongezeka sana ni DIRECT IMPACT ya video za ngono.

Be a Man, stop watching pornography. Ukiona huduma unapewa bure basi ujue wewe ndio Malipo yenyewe.
 
Back
Top Bottom