Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Wakuu nafikiri wote tumesikia kuwa wagombea kadhaa wameenguliwa kugombea nafasi mbali mbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kile kinachodaiwa kutokuwa na shughuli za kuwaingizia kipato yaani kazi. Sasa vijana wenzangu wasomi ambao hatuna ajira ila tu tumeamua kufanya siasa serikali ya CCM haitaki.
Tupeane maoni tunafanyaje wakuu? Nchi hii mambo mengi yanapelekwa kihuni. Moja kati ya sifa ya kugombea cheo cha siasa ni kwamba usiwe mtumishi wa Umma, Sasa swali tunalouliza hao madogo chipukizi wa CCM viongozi wao wanafanya kazi Gani na wapi?
Je, hao wagombea wanaoenguliwa Huwa wanapatiwa ruzuku na serikali ya kuendeshea maisha yao? Imekuwaje serikali ikadai hawana kabisa shughuli?
Tupeane maoni tunafanyaje wakuu? Nchi hii mambo mengi yanapelekwa kihuni. Moja kati ya sifa ya kugombea cheo cha siasa ni kwamba usiwe mtumishi wa Umma, Sasa swali tunalouliza hao madogo chipukizi wa CCM viongozi wao wanafanya kazi Gani na wapi?
Je, hao wagombea wanaoenguliwa Huwa wanapatiwa ruzuku na serikali ya kuendeshea maisha yao? Imekuwaje serikali ikadai hawana kabisa shughuli?
