Mimi nina experience na Subaru Legacy Wagon ndio nimekuwa nikitumia na kuuza pale anapohitaji mtu, sasa haya magari naagiza beforward, kwa miaka 6 sasa naagiza kila mwaka nabadilisha maana wanao yapenda wengi, mfano nikitoka Dar kwenda Mwanza kwa siku yakwanza kulitoa bandarini linachemsha nikiwa njiani, nikagundua lina sensor iyo sensor huwa inahisi joto la engine basi nguvu ya gari na yenyewe inapungua, cha kufanya na disconect sensor naendelea na safari hadi nafika matengenezo mengine yanafuata. seat za dereva mkono wa kulia kwa chini unakuta pamechanwa kidogo kama ka mfuko sasa sijui huwa yanatumika kusafirishia vitu gani maana kila nikinunua lazima nakuta hivyo ila nampa fundi cherehani kazi ya kushona na sindano. kuna motor flan mkono wa kulia kama unafungua bonet unakuta inalika hadi sasa sijaelewa kabisa ila ndio matatizo hayo, ila ni magari mazuri yenye nguvu.