Watanzania tunachotaka ni katiba mpya kusaidia nchi. Katiba hii mpya ambayo majadiliano yameanza sio ya vyama vya siasa ni ya Tanzania nzima kwa ujumla. Tusiwe wazito kuchukuwa na kuiga wenzetu wa Kenya kwenye vifungu ambavyo tunajua kabisa vinafanya kazi vizuri. Vifungu hivi ni pamoja
1. Tume huru na sheria zake tumeshaona Tume ya uchaguzi wa Kenya ilivyo huru
2. Uhuru wa Mahakama. Kwasasa sheria zetu za mahakama bado ni za kikoloni zibaddilike ili mahakama iwe huru zaidi.
3. Nguvu ya Bunge na Raisi. Mfano watendaji wakuu kupitia bungeni kuthibitisha ni jambo jema.
4. Makatibu wakuu ndiyo wawe mawaziri na sio wabunge. Mfumo wetu wa sasa hivi unasababisha tuwe na siasa kuliko utendaji kwenye shughuli za maendeleo. Raisi tumpe uhuru zaidi kwenye hili kumchagua mtu yeyote anayefaa. Mfumo wa sasa wa wabunge kumi hauna tija waziri ambaye kachaguliwa kwa vitu kumi vya Rais anaweza kutenguliwa lakini bado akawa mbunge! wakati Raisi alimweka makusudi ili ampe uwaziri!. Kwasababu ya mfumo mbaya wanaishiwa kupelekwa ubalozini au kupangiwa kazi nyingine ili tu kiti kiwe wazi.
Kwa ujumla sio Kenya tu lakini tuangalie na katiba nyingine
1. Tume huru na sheria zake tumeshaona Tume ya uchaguzi wa Kenya ilivyo huru
2. Uhuru wa Mahakama. Kwasasa sheria zetu za mahakama bado ni za kikoloni zibaddilike ili mahakama iwe huru zaidi.
3. Nguvu ya Bunge na Raisi. Mfano watendaji wakuu kupitia bungeni kuthibitisha ni jambo jema.
4. Makatibu wakuu ndiyo wawe mawaziri na sio wabunge. Mfumo wetu wa sasa hivi unasababisha tuwe na siasa kuliko utendaji kwenye shughuli za maendeleo. Raisi tumpe uhuru zaidi kwenye hili kumchagua mtu yeyote anayefaa. Mfumo wa sasa wa wabunge kumi hauna tija waziri ambaye kachaguliwa kwa vitu kumi vya Rais anaweza kutenguliwa lakini bado akawa mbunge! wakati Raisi alimweka makusudi ili ampe uwaziri!. Kwasababu ya mfumo mbaya wanaishiwa kupelekwa ubalozini au kupangiwa kazi nyingine ili tu kiti kiwe wazi.
Kwa ujumla sio Kenya tu lakini tuangalie na katiba nyingine