Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Lakini sio hii migubegube yetu huku inayokula nauli. Hii midudu haina hata punje ya aibu. Itakuwa na vinasaba vya kishetani.
Sivuti picha ya huo uke uache ujisafishe wenyewe na hili joto la dar. Samaki aliyeoza ana nafuu hilo vundo lake.
Sio kweli hata nyoka wana aibu sana hasa akikutana na binaadam, uzi upo humu
Kuna kesi za ajabu duniani, kwa hio kunywa mvinyo wa malkia ni dhambi?