Uchaguzi 2020 Tusipoangalia Rais atazungukwa na wabaguzi wa Dini na Wakabila

Uchaguzi 2020 Tusipoangalia Rais atazungukwa na wabaguzi wa Dini na Wakabila

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
RAIS ASIZUNGUKWE NA WATU WENYE UKABILA NA UDINI.

Na, Robert Heriel

Tupo katika kipindi cha Kampeni, leo ndio ufunguzi wa Kampeni za Uchaguzi. Huu ni wakati muhimu kwa taifa letu.
Tunachagua viongozi watakaotuongoza kwa miaka mitano.

Tunapaswa tuchague viongozi wasio na dalili za ubaguzi wa kidini, ukabila ama ubaguzi wa aina yoyote ile.

Tunapaswa kuchagua viongozi ambao hawajawahi kujiingiza katika kauli za kibaguzi, iwe kidini au kikabila.

Bila kujali chama, nafasi ya mtu, ikiwa mtu yeyote kutoka Chama chochote aliwahi kuhusika na kauli za kibaguzi, asichaguliwe. Huyo hatufai, ni mtu wa hovyo.

Ukisikia ubaguzi unatokea katika nchi, basi jua wanaomzunguka Rais ni wabaguzi. Kama wanaomzunguka Rais sio wabaguzi, sio rahisi kwa Rais kupata nguvu ya kubagua watu.

Mtu yeyote mwenye shutuma za Ukabila, iwe kwa kuhamasisha, kutoa kauli au namna yoyote ile hapaswi kuchaguliwa. Hili nitalisema leo, kesho na hata milele.

Kuendekeza watu wabaguzi ni kuweka amani ya nchi rehani.

Mifano ya watu waliogombea na wanashutuma za Ubaguzi iwe wa Kikabila au kidini, na vithibitisho vipo, ni Pamoja na Askofu Gwajima.

Askofu Gwajima na watu wenye tabia kama zake, wasichaguliwe bila kujali wapo chama gani.

Gwajima asichaguliwe
Gwajima asipewe kura
Gwajima hafai kuwa karibu na Rais.

Endapo watu kama Gwajima wenye kuhusishwa na ubaguzi na shutuma za ubaguzi wakimzunguka Mhe. Rais, nakuhakuhakikishia ubaguzi utakolea nchi hii.

Wabaguzi wasichaguliwe
Wadini wasichaguliwe
Wakabila wasipewe kura.

Jambo hili sio suala binafsi, bali ni suala linalohusu maslahi ya taifa.

Uwe ni CCM
Uwe CHADEMA
Uwe ACT- WAZALENDO
Kama unatabia za ubaguzi hatutakupa kura.

Nimemtolea mfano Gwajima kwa sababu ndiye mtu ambaye nimeshawahi kumsikia mara kwa mara akihusishwa na mambo ya ubaguzi wa kidini,na kikabila.

Gwajima usije ukahisi ninakukandia usiwe Mbunge, hapana, bali sitaki watu wenye tabia kama zako wamkaribie Rais, ama waingie kwenye nafasi za juu za kufanyia maamuzi ya nchi hii.

Ninashida na kauli zako, wewe na watu kama wewe.
Hata hivyo muda wa kuomba msamaha si sasa.

Muhimu: Mbaguzi yeyote asipewe kura. Kumpa Kura mbaguzi ni kuupa nguvu ubaguzi, ni kuunga mkono ubaguzi

Najua kila mmoja anahistoria yake na anajua ubaya wa ubaguzi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
 
Nakubaliana na wewe. Ni heri Msukuma ashinde huko Geita kwa sababu hana kashfa ya ukabila kuliko Gwajima ashinde Kawe kwa sababu ana kashfa zilizothibitishwa za ukabila na udini
 
Mbona mnamhofia sana Gwajima?

Yani mpaka sasa hivi CCM tayari ina majimbo 22 mkononi nyie bado mmekomaa na Gwakima wa Kawe?
 
Mbona mnamhifia sana Gwajima?

Yani mpaka sasa hivi ccm tayari ina majimbo 22 mkononi nyie bado mmekomaa na Gwakima wa Kawe?


Tunahofia ubaguzi wake, hatuna shida na mambo mengine.
Wewe unadhani tunamhofia nini?

Kuna watu zaidi yake kuanzia pesa, elimu, uwezo na kila kitu lakini hatuwahofii .
Kwake tunahofia tabia za hovyo na watu kama yeye.
 
Mbona mnamhifia sana Gwajima?

Yani mpaka sasa hivi ccm tayari ina majimbo 22 mkononi nyie bado mmekomaa na Gwakima wa Kawe?
Wewe kwa akili yako tu ya kuzaliwa unaweza mpa kura yako tapeli Gwajima anayedai anafufua watu, anajirekodi akifanya mapenzi na wanawake, anatoa clips za kuhamsisha ukabila na udini?????
 
Wewe kwa akili yako tu ya kuzaliwa unaweza mpa kura yako tapeli Gwajima anayedai anafufua watu, anajirekodi akifanya mapenzi na wanawake, anatoa clips za kuhamsisha ukabila na udini?????
Hayo ni mambo yake binafsi kama Lisu anavyosema ushoga ni ishu ya faragha hivyo ni ruksa,
Kwanza huna ushahidi kwamba yule ndio Gwajima. Pili acheni wananchi wa kawe wataamua kwenye sanduku la kura, hofu ya nini?

Sasa nyie wakati mko busy na jimbo moja la Gwajima wenzenu ccm huko mikoani tayari wana majimbo 22 wameshatia kibindoni...

Sasa imagine kura za urais itakuwaje kwenye hayo majimbo 22?
 
Hayo ni mambo yake binafsi kama Lisu anavyosema ushoga ni ishu ya faragha hivyo ni ruksa,
Kwanza huna ushahidi kwamba yule ndio Gwajima. Pili acheni wananchi wa kawe wataamua kwenye sanduku la kura, hofu ya nini?

Sasa nyie wakati mko busy na jimbo moja la Gwajima wenzenu ccm huko mikoani tayari wana majimbo 22 wameshatia kibindoni...

Sasa imagine kura za urais itakuwaje kwenye hayo majimbo 22?


Wewe unaweza kumchagua Mtu Mkabila?
Wewe unaweza kumchagua mtu mdini?

Ukinijibu hapa nafikiri mjadala utakuwa umeisha.

Note; Wabaguzi wote hawatatoboa
 
Hayo ni mambo yake binafsi kama Lisu anavyosema ushoga ni ishu ya faragha hivyo ni ruksa,
Kwanza huna ushahidi kwamba yule ndio Gwajima. Pili acheni wananchi wa kawe wataamua kwenye sanduku la kura, hofu ya nini?

Sasa nyie wakati mko busy na jimbo moja la Gwajima wenzenu ccm huko mikoani tayari wana majimbo 22 wameshatia kibindoni...

Sasa imagine kura za urais itakuwaje kwenye hayo majimbo 22?
Majimbo gani 22 CCM wameshinda??? Hujui kuwa NEC ndo wenye final say????

Hivi una akili kweli wewe???? Kuhamasisha siasa za kikabila na udini ni jambo binafsi??? Au na wewe ndo hao wapwa tuinuane???
Umepotea sana ndugu, Hata mie 2015 nikiwa nakaa jimbo la Kawe, ubunge nilimpa Mdee na uraisi nilimpa mgombea wa CCM
 
RAIS ASIZUNGUKWE NA WATU WENYE UKABILA NA UDINI.

Na, Robert Heriel

Tupo katika kipindi cha Kampeni, leo ndio ufunguzi wa kampeni za uchaguzi. Huu ni wakati muhimu kwa taifa letu.
Tunachagua viongozi watakaotuongoza kwa miaka mitano.

Tunapaswa tuchague viongozi wasio na dalili za ubaguzi wa kidini, ukabila ama ubaguzi wa aina yoyote ile.

Tunapaswa kuchagua viongozi ambao hawajawahi kujiingiza katika kauli za kibaguzi, iwe kidini au kikabila.

Bila kujali chama, nafasi ya mtu, ikiwa mtu yeyote kutoka Chama chochote aliwahi kuhusika na kauli za kibaguzi, asichaguliwe. Huyo hatufai, ni mtu wa hovyo.

Ukisikia ubaguzi unatokea katika nchi, basi jua wanaomzunguka Rais ni wabaguzi. Kama wanaomzunguka Rais sio wabaguzi, sio rahisi kwa Rais kupata nguvu ya kubagua watu.

Mtu yeyote mwenye shutuma za Ukabila, iwe kwa kuhamasisha, kutoa kauli au namna yoyote ile hapaswi kuchaguliwa. Hili nitalisema leo, kesho na hata milele.

Kuendekeza watu wabaguzi ni kuweka amani ya nchi rehani.

Mifano ya watu waliogombea na wanashutuma za Ubaguzi iwe wa Kikabila au kidini, na vithibitisho vipo, ni Pamoja na Askofu Gwajima.

Askofu Gwajima na watu wenye tabia kama zake, wasichaguliwe bila kujali wapo chama gani.

Gwajima asichaguliwe
Gwajima asipewe kura
Gwajima hafai kuwa karibu na Rais.

Endapo watu kama Gwajima wenye kuhusishwa na ubaguzi na shutuma za ubaguzi wakimzunguka Mhe. Rais, nakuhakuhakikishia ubaguzi utakolea nchi hii.

Wabaguzi wasichaguliwe
Wadini wasichaguliwe
Wakabila wasipewe kura.

Jambo hili sio suala binafsi, bali ni suala linalohusu maslahi ya taifa.

Uwe ni CCM
Uwe CHADEMA
Uwe ACT- WAZALENDO
Kama unatabia za ubaguzi hatutakupa kura.

Nimemtolea mfano Gwajima kwa sababu ndiye mtu ambaye nimeshawahi kumsikia mara kwa mara akihusishwa na mambo ya ubaguzi wa kidini,na kikabila.

Gwajima usije ukahisi ninakukandia usiwe Mbunge, hapana, bali sitaki watu wenye tabia kama zako wamkaribie Rais, ama waingie kwenye nafasi za juu za kufanyia maamuzi ya nchi hii.

Ninashida na kauli zako, wewe na watu kama wewe.
Hata hivyo muda wa kuomba msamaha si sasa.

Muhimu: Mbaguzi yeyote asipewe kura. Kumpa Kura mbaguzi ni kuupa nguvu ubaguzi, ni kuunga mkono ubaguzi

Najua kila mmoja anahistoria yake na anajua ubaya wa ubaguzi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Mara ngapi azungukwe wakt tayr tupo ktk udini na ukabila na ukanda, ushawahi huoni usukuma ulivotawala awamu hii
 
Kila laheri Askofu Gwajima, sanduku la kura litamaliza kelele zote hizi.
 
RAIS ASIZUNGUKWE NA WATU WENYE UKABILA NA UDINI.

Na, Robert Heriel

Tupo katika kipindi cha Kampeni, leo ndio ufunguzi wa kampeni za uchaguzi. Huu ni wakati muhimu kwa taifa letu.
Tunachagua viongozi watakaotuongoza kwa miaka mitano.

Tunapaswa tuchague viongozi wasio na dalili za ubaguzi wa kidini, ukabila ama ubaguzi wa aina yoyote ile.

Tunapaswa kuchagua viongozi ambao hawajawahi kujiingiza katika kauli za kibaguzi, iwe kidini au kikabila.

Bila kujali chama, nafasi ya mtu, ikiwa mtu yeyote kutoka Chama chochote aliwahi kuhusika na kauli za kibaguzi, asichaguliwe. Huyo hatufai, ni mtu wa hovyo.

Ukisikia ubaguzi unatokea katika nchi, basi jua wanaomzunguka Rais ni wabaguzi. Kama wanaomzunguka Rais sio wabaguzi, sio rahisi kwa Rais kupata nguvu ya kubagua watu.

Mtu yeyote mwenye shutuma za Ukabila, iwe kwa kuhamasisha, kutoa kauli au namna yoyote ile hapaswi kuchaguliwa. Hili nitalisema leo, kesho na hata milele.

Kuendekeza watu wabaguzi ni kuweka amani ya nchi rehani.

Mifano ya watu waliogombea na wanashutuma za Ubaguzi iwe wa Kikabila au kidini, na vithibitisho vipo, ni Pamoja na Askofu Gwajima.

Askofu Gwajima na watu wenye tabia kama zake, wasichaguliwe bila kujali wapo chama gani.

Gwajima asichaguliwe
Gwajima asipewe kura
Gwajima hafai kuwa karibu na Rais.

Endapo watu kama Gwajima wenye kuhusishwa na ubaguzi na shutuma za ubaguzi wakimzunguka Mhe. Rais, nakuhakuhakikishia ubaguzi utakolea nchi hii.

Wabaguzi wasichaguliwe
Wadini wasichaguliwe
Wakabila wasipewe kura.

Jambo hili sio suala binafsi, bali ni suala linalohusu maslahi ya taifa.

Uwe ni CCM
Uwe CHADEMA
Uwe ACT- WAZALENDO
Kama unatabia za ubaguzi hatutakupa kura.

Nimemtolea mfano Gwajima kwa sababu ndiye mtu ambaye nimeshawahi kumsikia mara kwa mara akihusishwa na mambo ya ubaguzi wa kidini,na kikabila.

Gwajima usije ukahisi ninakukandia usiwe Mbunge, hapana, bali sitaki watu wenye tabia kama zako wamkaribie Rais, ama waingie kwenye nafasi za juu za kufanyia maamuzi ya nchi hii.

Ninashida na kauli zako, wewe na watu kama wewe.
Hata hivyo muda wa kuomba msamaha si sasa.

Muhimu: Mbaguzi yeyote asipewe kura. Kumpa Kura mbaguzi ni kuupa nguvu ubaguzi, ni kuunga mkono ubaguzi

Najua kila mmoja anahistoria yake na anajua ubaya wa ubaguzi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Hujui unenalo bwasheee. Ukabila Sasa uko asilimia 100, yajayo yatatokea, wabunge wote wa mkoa wa Geita idipokuwa msukuma wajiandae kupewa uwaziri, Mwanza. Yote, shinyanga,simiyu,kigoma,katavi,Mara kidogo,tabora kidogo.huko kulikobakia ataokota huko mmoja mmoja.
 
RAIS ASIZUNGUKWE NA WATU WENYE UKABILA NA UDINI.

Na, Robert Heriel

Tupo katika kipindi cha Kampeni, leo ndio ufunguzi wa Kampeni za Uchaguzi. Huu ni wakati muhimu kwa taifa letu.
Tunachagua viongozi watakaotuongoza kwa miaka mitano.

Tunapaswa tuchague viongozi wasio na dalili za ubaguzi wa kidini, ukabila ama ubaguzi wa aina yoyote ile.

Tunapaswa kuchagua viongozi ambao hawajawahi kujiingiza katika kauli za kibaguzi, iwe kidini au kikabila.

Bila kujali chama, nafasi ya mtu, ikiwa mtu yeyote kutoka Chama chochote aliwahi kuhusika na kauli za kibaguzi, asichaguliwe. Huyo hatufai, ni mtu wa hovyo.

Ukisikia ubaguzi unatokea katika nchi, basi jua wanaomzunguka Rais ni wabaguzi. Kama wanaomzunguka Rais sio wabaguzi, sio rahisi kwa Rais kupata nguvu ya kubagua watu.

Mtu yeyote mwenye shutuma za Ukabila, iwe kwa kuhamasisha, kutoa kauli au namna yoyote ile hapaswi kuchaguliwa. Hili nitalisema leo, kesho na hata milele.

Kuendekeza watu wabaguzi ni kuweka amani ya nchi rehani.

Mifano ya watu waliogombea na wanashutuma za Ubaguzi iwe wa Kikabila au kidini, na vithibitisho vipo, ni Pamoja na Askofu Gwajima.

Askofu Gwajima na watu wenye tabia kama zake, wasichaguliwe bila kujali wapo chama gani.

Gwajima asichaguliwe
Gwajima asipewe kura
Gwajima hafai kuwa karibu na Rais.

Endapo watu kama Gwajima wenye kuhusishwa na ubaguzi na shutuma za ubaguzi wakimzunguka Mhe. Rais, nakuhakuhakikishia ubaguzi utakolea nchi hii.

Wabaguzi wasichaguliwe
Wadini wasichaguliwe
Wakabila wasipewe kura.

Jambo hili sio suala binafsi, bali ni suala linalohusu maslahi ya taifa.

Uwe ni CCM
Uwe CHADEMA
Uwe ACT- WAZALENDO
Kama unatabia za ubaguzi hatutakupa kura.

Nimemtolea mfano Gwajima kwa sababu ndiye mtu ambaye nimeshawahi kumsikia mara kwa mara akihusishwa na mambo ya ubaguzi wa kidini,na kikabila.

Gwajima usije ukahisi ninakukandia usiwe Mbunge, hapana, bali sitaki watu wenye tabia kama zako wamkaribie Rais, ama waingie kwenye nafasi za juu za kufanyia maamuzi ya nchi hii.

Ninashida na kauli zako, wewe na watu kama wewe.
Hata hivyo muda wa kuomba msamaha si sasa.

Muhimu: Mbaguzi yeyote asipewe kura. Kumpa Kura mbaguzi ni kuupa nguvu ubaguzi, ni kuunga mkono ubaguzi

Najua kila mmoja anahistoria yake na anajua ubaya wa ubaguzi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Naunga mkono kabisa Gwajima hafai.Usisahau kuwa jiwe ni mkabila namba moja na yeye ndiye anayempa Gwajima meno ya kufanya aliyofanya bila kuchukuliwa hatua. Mtu wa kwanza kabisa kutokuchaguliwa ni jiwe.
 
Mbona mnamhofia sana Gwajima?

Yani mpaka sasa hivi CCM tayari ina majimbo 22 mkononi nyie bado mmekomaa na Gwakima wa Kawe?
hayo majimbo imeshinda kwa kura ngp dhidi ya ngp za upinzani?!.
 
Back
Top Bottom