Libadi
Senior Member
- Apr 13, 2018
- 142
- 198
Habari za mchana wakuu Kuna kitu Kwa upande wangu nashindwa kukielewa.
Kuna tatizo kubwa la ajira nchini nimejaribu kufatilia hatua mbali mbali ambozo Taifa linachukua Bado sioni kama zinaridhisha. Swali langu kwanini selikali isibadili mitaala?
Kuna gharama Gani kuibadili mitaala iliyopo inazalisha watu wengi wa kukaa maofisini.
Leo hii Fanya tafiti mdgo tu. Nenda shule za msingi uliza watoto unataka kuwa nani badae watakujibu doctor,Mwalimu,nesi n.k
Hizo kada tayari zimejaa na waliopo benchi ni wengi mnoo. Ni muda wa selikali kubadili mitaala ambayo itaendana na Dunia ya Sasa.
Moja ya njia ya kupunguza tatizo la ajira ni kubadili mitaala toka chini Hadi juu. Elimu ya Sasa haiwezi kuondoa tatizo la ajira zaidi inaongeza tatizo.
Kuna tatizo kubwa la ajira nchini nimejaribu kufatilia hatua mbali mbali ambozo Taifa linachukua Bado sioni kama zinaridhisha. Swali langu kwanini selikali isibadili mitaala?
Kuna gharama Gani kuibadili mitaala iliyopo inazalisha watu wengi wa kukaa maofisini.
Leo hii Fanya tafiti mdgo tu. Nenda shule za msingi uliza watoto unataka kuwa nani badae watakujibu doctor,Mwalimu,nesi n.k
Hizo kada tayari zimejaa na waliopo benchi ni wengi mnoo. Ni muda wa selikali kubadili mitaala ambayo itaendana na Dunia ya Sasa.
Moja ya njia ya kupunguza tatizo la ajira ni kubadili mitaala toka chini Hadi juu. Elimu ya Sasa haiwezi kuondoa tatizo la ajira zaidi inaongeza tatizo.