Tetesi: Tusipojiongeza katika awamu hii tutaendelea kuisoma namba

Tetesi: Tusipojiongeza katika awamu hii tutaendelea kuisoma namba

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Wakati JPM anaingia madarakani alikuta miradi kibao iliyoanzishwa na Kikwete ikasimama kutokana na ukosefu wa hela. Baadhi ya miradi hiyo ni: Nyerere Terminal III, Hospitali ya Muloganzila, mradi wa mabasi ya mwendokasi (BRT), n.k.
Sasa kuna miradi mikubwa mingi sana iliyoanzishwa na itakayoanzishwa (bado) na awamu ya V ambayo isipomalizika katika kipindi chake cha awamu hii ya tano; ndo itakuwa imekufa kabisa kwasababu ya changamoto za vipaumbele katika matumizi ya hela za serikali. Baadhi ya miradi hiyo ni: daraja la juu ziwa Victoria lenye urefu 3.5km, daraja linalounganisha Coco beach hadi city center (Tanzanite bridge), SGR hadi Mwanza, umeme wa Stiglars 's gorge (Bwawa la umeme la Nyerere), n.k. Kwahiyo Mtu usipojiongeza usitegemee maisha yatakuwa mepesi mtaani chini ya JPM.
 
Wakati JPM anaingia madarakani alikuta miradi kibao iliyoanzishwa na Kikwete ikasimama kutokana na ukosefu wa hela. Baadhi ya miradi hiyo ni: Nyerere Terminal III, Hospitali ya Muloganzila, mradi wa mabasi ya mwendokasi (BRT), n.k.
Sasa kuna miradi mikubwa mingi sana iliyoanzishwa na itakayoanzishwa (bado) na awamu ya V ambayo isipomalizika katika kipindi chake cha awamu hii ya tano; ndo itakuwa imekufa kabisa kwasababu ya changamoto za vipaumbele katika matumizi ya hela za serikali. Baadhi ya miradi hiyo ni: daraja la juu ziwa Victoria lenye urefu 3.5km, daraja linalounganisha Coco beach hadi city center (Tanzanite bridge), SGR hadi Mwanza, umeme wa Stiglars 's gorge (Bwawa la umeme la Nyerere), n.k. Kwahiyo Mtu usipojiongeza usitegemee maisha yatakuwa mepesi mtaani chini ya JPM.
Tufanyeje mkuu
 
Tufanyeje mkuu
Ni kutafuta njia mtu unayoona itampa wepesi wa maisha. Kwasababu sithani kama JPM atathubutu kuiacha hii miradi haijamalizika kutokana na changamoto katika utekelezaji wake kutoka kwa nchi za magharibi na kwa kutumia hela za ndani. Ataakikisha inamalizika kwa kutumia mapato yoote ya ndani!
 
Ni kwel ndiyo maana vitu vimeshuka bei kweli, watu wanauza viwanja, nyumba kwa bei ya kutupa kabisa yan, enzi ya kikwete, nyumba na viwanja vilikuwa bei kubwa kweli, nyumba libovu mjin lilikuwa linauzwa million 50.
 
Back
Top Bottom