Uchaguzi 2020 Tusipoweka Tume Huru ya uchaguzi Mwaka huu Tanzania tutawekewa vikwazo kiuchumi

Uchaguzi 2020 Tusipoweka Tume Huru ya uchaguzi Mwaka huu Tanzania tutawekewa vikwazo kiuchumi

Mayor Slum

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
760
Reaction score
1,150
Kwa siasa za Tanzania amabazo sio za kistarabu kabisa yaani za uchafuzi naamini tunaenda kupata vikwazo vya uchumi ambavyo vitatuathiri hata watu wengine tusio na kosa sababu ya wajinga wachache

1 waraka wa Marekani uliotolewa leo umeenda sambamba kupwiga ban Mkuu wa Mkoa kwa hiyo Marekani mpaka sasa walikiwa wameshapaga haya yote kwa kutuangalia tangia zamani pia na swala la kabendera limechangia

2Leo ndio siku ambayo waraka wa Marekani umetoka sambamba na kupigwa ban Bashite pia kuzuiwa kwa bahati nasibu kwa wabongo

3 Tume huru ni mtego mkubwa sana kwa Tanzania ya sasa , yaani tukoshondwa tu kuandaa uchaguzi vizuri na kuviruga ucjaguzi Mwaka huu vikwazo vya uchumi ndio vinatuhusu tutakosa misaada kabisa hapa Bongo

Na hilo ndio lengo lao
Pia sisi Tanzania wajuaji sana eti tunaenda kupogania zimbabwe iondelewe vikwanzo huku sisi hatujasitarabika Tuwe makini
Wanatuwinda hapa sasa watupe vikwanzo vya uchumi

TUFANYE UCHAGUZI UHURU NA WA HAKI
PIA TUWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa siasa za Tanzania amabazo sio za kistarabu kabisa yaani za uchafuzi naamini tunaenda kupata vikwazo vya uchumi ambavyo vitatuathiri hata watu wengine tusio na kosa sababu ya wajinga wachache

1 waraka wa Marekani uliotolewa leo umeenda sambamba kupwiga ban Mkuu wa Mkoa kwa hiyo Marekani mpaka sasa walikiwa wameshapaga haya yote kwa kutuangalia tangia zamani pia na swala la kabendera limechangia

2Leo ndio siku ambayo waraka wa Marekani umetoka sambamba na kupigwa ban Bashite pia kuzuiwa kwa bahati nasibu kwa wabongo

3 Tume huru ni mtego mkubwa sana kwa Tanzania ya sasa , yaani tukoshondwa tu kuandaa uchaguzi vizuri na kuviruga ucjaguzi Mwaka huu vikwazo vya uchumi ndio vinatuhusu tutakosa misaada kabisa hapa Bongo

Na hilo ndio lengo lao
Pia sisi Tanzania wajuaji sana eti tunaenda kupogania zimbabwe iondelewe vikwanzo huku sisi hatujasitarabika Tuwe makini
Wanatuwinda hapa sasa watupe vikwanzo vya uchumi

TUFANYE UCHAGUZI UHURU NA WA HAKI
PIA TUWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI




Sent using Jamii Forums mobile app
CCM wanaogopa tume huru ya uchaguzo japo ni chama pendwa 'to Shame the devil we need Free and fair elections "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vipi watu tunasahau kuwa msingi wa Tume huru ni katiba mpya?
Mimi kwa maoni yangu Tume huru siyo lazima katiba mpya. swali fikirishi ili tume iwe huru inatakiwa iweje ? je watawala wakikiuka sheria zinazo simamia tume huru nini kitafanyika . mara zote kwenye hizi cgaguzi tumeona chama dola wakifanya figisufigisu za wazi mfano kufunga vyuo wakati wa uchaguzi n.k
 
Back
Top Bottom