Tusisahau hili jema la Dkt. Bashiru Ally

Tusisahau hili jema la Dkt. Bashiru Ally

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Akiwa Katibu Bashiru ndo alikuwa mtu pekee ndani ya CCM aliesema waziwazi kuwa CCM haitakubali Kumuongezea mda Rais Magufuli.

Hata kama aliposema alikuwa hana nguvu ya kuzuia...iwapo maamuzi yangejitokeza.

Mradi yupo kwenye rekodi na aliongea waziwazi kuwa, anataka Rais Magufuli amalize mda wake ..aje mwingine kama ulivyo utaratibu. Basi hili moja Tu linatosha kabisa kumkumbuka.

Kama habari za mabilioni zitakuja kujulikana si za kweli basi huyu Bashiru atakuwa kaonewa sana.

Tusisahau haikuwa kazi rahisi kuwa na msimamo wako tofauti na MATAGA enzi.

Za Magufuli na kuusemea waziwazi msimamo wako, lakini Bashiru kwenye hili alisimama na kuhesabiwa waziwazi.

Mimi kwa hili moja heshima yangu kwake iliongezeka na tuhuma zingine zote nasubiri zithibitishwe ndo nimpe hukumu sahihi.
 
Uyo fangasi sitaki ata kumsikia

Wewe nani? unaitwa nani? ni nani dunia hii? address yako?

Au mkumbo tu wa kitanzania kueneza chuk

Umepasiwa chuki kama mpira!!!! unatambaa nayo

Hakuna sehemu wewe bushiri kaukosea na familia yako, ukakosa mboga ya kula au bando la kuangalia insta, ila roho mbaya na chuki inaogelea kwa kufurahia baya la mwingine

Hebu andika kwa sentensi mbili, Bushiri kakukosea nini?
 
Trust me alipozungumza hatounga mkono mambo ya "mitano tena" hakuwa anamaanisha! Ile ilikua ni strategy ya kutuandaa kisaikolojia!

Naskia Kimbinyiko inamuhusu?
 
wewe nani? unaitwa nani? ni nani dunia hii? address yako?

au mkumbo tu wa kitanzania kueneza chuk

umepasiwa chuki kama mpira!!!! unatambaa nayo

Hakuna sehemu wewe bushiri kaukosea na familia yako, ukakosa mboga ya kula au bando la kuangalia insta....ila roho mbaya na chuki inaogelea kwa kufurahia baya la mwingine

ebu andika kwa sentensi mbili, Bushiri kakukosea nini?
Watu kama nyie hamjielewi na wala hamjui yanayoendelea kwenye hii nchi. Sasa hivi sijui mtalamba masaburi ya nani...
 
Ila Mungu fundi kweli kweli jamani
20210328_220945.jpg
20210328_220704.jpg
FB_IMG_1616957944735~2.jpg
 
Back
Top Bottom