Tusisahau ripoti ya CAG imekuwa wazi kwasababu ya maelekezo ya Rais

Tusisahau ripoti ya CAG imekuwa wazi kwasababu ya maelekezo ya Rais

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tutapata muda kujadili taarifa ya ripoti ya CAG. Lakini tusiache na kujisahaulisha kwamba Rais Samia ndiyo aliagiza ripoti iwe na uwazi zaidi ili serikali iweze kufanya maamuzi. Sasa tusije kuona kama vile haya ni ya ajabu ni kwamba ufisadi ulikuwa unaelezwa kwa mafumbo fumbo huko nyuma na sasa wanasema wazi pesa zimeibiwa.

Hivyo tujadili hoja bila kusahau hizi. Wizi Tanzania serikalini na kuongeza mikataba ni utamaduni mbaya ambao hata viongozi wa juu wanahusika. Ni lazima tusiwe wanafiki na kumpa .

Hongera Rais na kumpinga kwa hoja
 
Laiti watalifanyia kazi sawa, ila kama kuonyesha na kuishia maneno basi tutakuwa masikini huku tukiona waizi wakizidi kujenga mahekalu tu
 
Bwana mdogo, sio Raisi ni Rais, tusichoshane.
 
Tutapata muda kujadili taarifa ya ripoti ya CAG. Lakini tusiache na kujisahaulisha kwamba Raisi Samia ndiyo aliagiza ripoti iwe na uwazi zaidi ili serikali iweze kufanya maamuzi.
Sasa tusije kuona kama vile haya ni ya ajabu ni kwamba ufisadi ulikuwa unaelezwa kwa mafumbo fumbo huko nyuma na sasa wanasema wazi pesa zimeibiwa….

Hivyo tujadili hoja bila kusahau hizi. Wizi Tanzania serikalini na kuongeza mikataba ni utamaduni mbaya ambao hata viongozi wa juu wanahusika. Ni lazima tusiwe wanafiki na kumpa Hongera Raisi na kumpinga kwa hoja
Unamaanisha kuna nyakat report ya CAG ilikua haipew uwazi huo? Btw itakua vyema kama hatua stahiki zitachululiwa pamoja na jala lote warudishe hazina!!
 
Tutapata muda kujadili taarifa ya ripoti ya CAG. Lakini tusiache na kujisahaulisha kwamba Raisi Samia ndiyo aliagiza ripoti iwe na uwazi zaidi ili serikali iweze kufanya maamuzi.
Sasa tusije kuona kama vile haya ni ya ajabu ni kwamba ufisadi ulikuwa unaelezwa kwa mafumbo fumbo huko nyuma na sasa wanasema wazi pesa zimeibiwa….

Hivyo tujadili hoja bila kusahau hizi. Wizi Tanzania serikalini na kuongeza mikataba ni utamaduni mbaya ambao hata viongozi wa juu wanahusika. Ni lazima tusiwe wanafiki na kumpa Hongera Raisi na kumpinga kwa hoja
Yule mwovu alikuwa anaiatamia

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Tutapata muda kujadili taarifa ya ripoti ya CAG. Lakini tusiache na kujisahaulisha kwamba Raisi Samia ndiyo aliagiza ripoti iwe na uwazi zaidi ili serikali iweze kufanya maamuzi.
Sasa tusije kuona kama vile haya ni ya ajabu ni kwamba ufisadi ulikuwa unaelezwa kwa mafumbo fumbo huko nyuma na sasa wanasema wazi pesa zimeibiwa….

Hivyo tujadili hoja bila kusahau hizi. Wizi Tanzania serikalini na kuongeza mikataba ni utamaduni mbaya ambao hata viongozi wa juu wanahusika. Ni lazima tusiwe wanafiki na kumpa Hongera Raisi na kumpinga kwa hoja
Huu ni ushuhuda mzuri sana kwamba nchi hii Rais ni kila kitu tena yeye ndiye Katiba, Sheria, Mhimili na mmiliki mkuu wanchi.

Mimi nimeshajivua ujinga. Kama Rais anaapa kuilinda Katiba basi anapaswa kuwa MTII kwa Katiba. Awe muumini wa sheria na asiwe mlevi wa madaraka.

Hoja yako ni tusi kwa Taifa
 
Back
Top Bottom