Mzee Mwenzangu
Senior Member
- Dec 23, 2013
- 190
- 168
Habari wana jamvi.
Naomba kwanza nieleweke kuwa naandika haya kwa nia njema.
Ukifuatilia shule nyingi chini ya mwamvuli wa dini ya kiislam hazifanyi vizuri. Naomba tujadili ni ni kikwazo ili miaka ijayo nazo ziwe katika shule shindani na watoto wetu waweze kujivunia kusoma hapo.
Najua shule haichagua mwanafunzi (kidini) hivyo kama shule nyingi especially hizi za dini zote huwa zina maadili ambayo ni msingi mzuri kwa wanetu na ningefurahishwa nazo zote zikiwa zinashindana ktk hizi nafasi bora kitaifa.
Tupia nini kifanyike au tujifunze kutoka shule za wakristu ili tuwe katika ushindani wa kimaendeleo.
Nami nitarudi baadaye kuchangia baada ya wadau kutupia maoni.
Karibuni.
Naomba kwanza nieleweke kuwa naandika haya kwa nia njema.
Ukifuatilia shule nyingi chini ya mwamvuli wa dini ya kiislam hazifanyi vizuri. Naomba tujadili ni ni kikwazo ili miaka ijayo nazo ziwe katika shule shindani na watoto wetu waweze kujivunia kusoma hapo.
Najua shule haichagua mwanafunzi (kidini) hivyo kama shule nyingi especially hizi za dini zote huwa zina maadili ambayo ni msingi mzuri kwa wanetu na ningefurahishwa nazo zote zikiwa zinashindana ktk hizi nafasi bora kitaifa.
Tupia nini kifanyike au tujifunze kutoka shule za wakristu ili tuwe katika ushindani wa kimaendeleo.
Nami nitarudi baadaye kuchangia baada ya wadau kutupia maoni.
Karibuni.