johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Natoa tu angalizo kwa sababu hii nchi tunaendeshwa kwa matukio.
Niliposoma Mabosi wa Simba na Yanga wamepiga picha ya pamoja futarini Ikulu nikajua tayari Wana jambo lao.
Hongera sana Makolo FC.
Niliposoma Mabosi wa Simba na Yanga wamepiga picha ya pamoja futarini Ikulu nikajua tayari Wana jambo lao.
Hongera sana Makolo FC.