Tusiwalaumu marefarii tujadili kiini cha kutaka urefarii

wakimataifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
942
Reaction score
168
Ukifatilia refarii mmoja mmoja utakuta wengi ni mapolisi, askari magereza, wanajeshi na vyeo vya chini wengine mafundi umeme, makarani wa ofisi mbalimbali, wengine wa mtaani. Kifupi wote hawa ni waganga njaa.

Hilo ndilo linalopelekea marefa kuja kuchonga laini ya pesa (rushwa) kwenye fani hii ya mpira wa miguu, kwa hilo chama cha waamuzi wawe makini na waamuzi wao.

Nawasilisha
 
Ulitaka marefarii wawe WAHASIBU, WAKUU WA WILAYA, WAKURUGENZI, MAAFISA UGAVI, MA-INJINIA, MADAKTARI ama....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…