kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 513
Nadhani walibanwa mno, na ukiangalia uongozi wao utajua kwanini? Hata nyuso za watangazaji, ilikua unaona kabisa hawana raha kushindwa kutangaza taarifa za upinzani.
Ilikua unaona kabisa nini kilichikuwepo nyuma ya pazia. Hata NEC haikukemea vyombo vya habari hususani Runinga kushindwa kutangaza kwa ufasaha taarifa za upande wapili. Hata radio, zilishindwa ndo maana CCM wanachukia sana mitandao ya kijamii. Leo lao lilikua wapinzani wasionekane popote, ili wao wawe wao tu.
Azima yao haijafanikiwa ya kufuta upinzania nchini, kinyume chake, upinzani umekuwa na nguvu zaidi kuliko walivyotemea. Ndo maana walipitisha visheria vingi kandamizi vya kukandamiza mitandao ya kijamii.
Kwahio hivi vyombo vilivyo shindwa yakiwemo magazeti, wengi wao ilikua uongozi, na pili ilikua uoga. Tuwape pole sana, ila kwakuleta uhondo next time, wachague Uhuru.
Ilikua unaona kabisa nini kilichikuwepo nyuma ya pazia. Hata NEC haikukemea vyombo vya habari hususani Runinga kushindwa kutangaza kwa ufasaha taarifa za upande wapili. Hata radio, zilishindwa ndo maana CCM wanachukia sana mitandao ya kijamii. Leo lao lilikua wapinzani wasionekane popote, ili wao wawe wao tu.
Azima yao haijafanikiwa ya kufuta upinzania nchini, kinyume chake, upinzani umekuwa na nguvu zaidi kuliko walivyotemea. Ndo maana walipitisha visheria vingi kandamizi vya kukandamiza mitandao ya kijamii.
Kwahio hivi vyombo vilivyo shindwa yakiwemo magazeti, wengi wao ilikua uongozi, na pili ilikua uoga. Tuwape pole sana, ila kwakuleta uhondo next time, wachague Uhuru.