Tusiwe Wanafki kwa hili

Laizer Peter

Senior Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
130
Reaction score
24
Habari wana jf.

Wana jf em tusiwe wanafki juu ya alichokizungumza kiongozi wa upinzani Mh Tindu Lissu katika hotuba yake ya mwisho.

Hivi kama kweli sheria hairuhusu/haimruhusu Rais kutengua au kuongeza mda kwa jambo alilotoa Sasa imekuaje kwa katiba?

Kwa mujibu wa hotuba ya Lissu na kwa mujibu wa sheria kama alivosema Sheria haiwaruhusu NEC kuongeza mda kwa kura ya maoni,Sasa imekuaje kwa katiba?

Hivi hii serikali ya CCM ni lini wataipitisha hii katiba yao?

JK aliahidi kuwapatia watanzania katiba kwenye ile siku ya GOLDEN JUBILEE hatimae GOLDEN JUBILEE ilipita bila kutupatia hiyo katiba.

JK akaahidi tena kwa mara ya pili kwamba tar 30/04/2015 atawapatia watanzania katiba (?????) hatimae imeahirishwa tena.

Kwa sasa JK pamoja ya serikali yake bado wanasema kwamba wataipatia Tanzania katiba na siku hawaijui.

hahahaha! Ivi jamani yani sheria waitunge wao afu waivunje wao na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa..

Je tutafika kwa kutumia hii serikali ya CCM?

Nawasilisha.
 
Nimesoma lakini sikuelewa kitu. Ama uelewa wangu ni mdogo, au mleta mada kuna kitu ukukiweka sawa kwenye bandiko lako.

Tiba
 
Akili yako ni emptya ndo maana unapost ujinga ujinga uliopitwa na wakati.
View attachment 254050
 
Rudi shuleni ---- ww

Kurudi shule sio tatizo kaka lakini ukiangalia na mchango wa member wengine kwenye hii post yako utagundua kwamba wewe ndiye mwenye tatizo. Umepost kitu kisichoeleweka.

Tiba
 
Kurudi shule sio tatizo kaka lakini ukiangalia na mchango wa member wengine kwenye hii post yako utagundua kwamba wewe ndiye mwenye tatizo. Umepost kitu kisichoeleweka.

Tiba


kama uelewa wako ni mdogo unategemea uelewe nini?
 
kama uelewa wako ni mdogo unategemea uelewe nini?

Haya kaka ngoja nikupe ushindi, umeshinda ila sio vizuri kutujazia server kwa post zisizoeleweka kwetu sisi wenye uelewa mdogo.

Tiba
 
Haya kaka ngoja nikupe ushindi, umeshinda ila sio vizuri kutujazia server kwa post zisizoeleweka kwetu sisi wenye uelewa mdogo.

Tiba


Sasa kama unajijua uelewa wako ni mdogo huku kwa Great thinker umefata nn.
 
Haya kaka ngoja nikupe ushindi, umeshinda ila sio vizuri kutujazia server kwa post zisizoeleweka kwetu sisi wenye uelewa mdogo.

Tiba
Wala huyo sio hata wa kumpa ushindi hakuna alichopost anaruka na kukanyaga!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…