Tusker all stars

charndams

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
436
Reaction score
128
baada ya kutazama tusker all stars jumapili nilikosa hamu kabisa kwa wale niliodhania. kwa mfano kipindi kilichopita Msechu alifanya vizuri sana lakini juzi Krrrrrr! aliniboa sana. anaulizwa maswali simple sana anajibu kinyume kabsaa na kujigamba kuwa ametumwa kutafuta pesa na haja yake ni pesa tu. Hemedy pia did a very shoddy performance na hata comments zake baada ya performance ushhh!!!, so unfortunate, ukilinganisha siku zilizotangulia. Watu kama Alfa, Patricia na Davis performance zao zilikuwa za kuvutia na comments zao brief and to the point with respect for other artists.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…