Teddy mapunda wa serengeti anasema anashukuru sudan kwa kufuzu kwenda fainali za africa. kama mnavyojua bia ya tusker inatengenezwa sudan kusini sehemu inayojulikana kama Juba. mshindi wa leo atapata $30000/- cash. ni michuano inayokuja itafanyikia kenya wadhamin wakiwa hao hao TUSKER. Mia