Kwa jinsi Yanga anavomuhara mnyama lazima aachie afungwe!! Tutaona wadau, nna uhakika na hii kituSimba kaiting Nusu Final
Kashinda 2-1 Vs Mtibwa
Naona Yanga VS Simba Semi-Final..labda Yanga wkubali kipigo kesho from Tusker ili amkimbie mnyama...
yanga bingwa ziz yiaKwa jinsi Yanga anavomuhara mnyama lazima aachie afungwe!! Tutaona wadau, nna uhakika na hii kitu
Kwa jinsi Yanga anavomuhara mnyama lazima aachie afungwe!! Tutaona wadau, nna uhakika na hii kitu
Hahaa! Yani kandambili wamejiingiza wazima wazima kwenye mdomo wa mnyama !! Swali ni kwamba je watatokea uwanjani? Please Madega, leta timu uwanjani..pliiiiizzz
Simba 2 tusker 1Mkuu hujarudi tena kuyapitia (review) haya maneno yako, karibu sana. Mliopo bongo tupeni update, Simba na Tusker ilikuwaje?
Is it? Mimi Simba damu lakini siombei mabaya kwa watani hasa wanapocheza na Wakenya. Hope Yanga watasawazisha na kushinda game hiiGoal from free kick. Yanga 0 sofapaka 1
bad news kwa Wanayanga pamoja an Watanzania wote wapenzi wa soka na si washabiki wa klabu. nieleweke hapoHalf time. Still sofapaka ahead by the single goal. Yanga 0
bad news kwa Wanayanga pamoja an Watanzania wote wapenzi wa soka na si washabiki wa klabu. nieleweke hapo
No change on the scOre line. Tbh am enjoyin th scoreline so far ukichukulia mi ni simba fan. Mli2pigia kelele sana yanga mlipo2funga.