TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Kutoka Katika Ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2010-2015
"Idadi ya wanafunzi wa shule za msingi imeongezeka kutoka milioni tatu na nusu mwaka 1995 na kufikia zaidi ya milioni saba na nusu mwaka 2005. Wakati huo huo wanafunzi wa shule za sekondari wameongezeka zaidi ya maradufu kutoka wanafunzi 190,000 mwaka 1995 hadi wanafunzi 520,000 mwaka wa 2005."
"CCM inapenda kutamka bayana majukumu mawili ya msingi. [FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma][FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma]Jukumu la kwanza ni kuitoa Tanzania kutoka kwenye dimbwi la uchumi ulio nyuma na tegemezi na kuiingiza katika mkondo wa uchumi wa kisasa wa taifa linalojitegemea[/FONT][/FONT]. jukumu hilo ni letu Watanzania[FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma][FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma]. [/FONT][/FONT]Wahisani wanatuunga mkono tu. [FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma][FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma]Jukumu la pili ni kuwashirikisha wananchi wote kwa njia ya uwezeshaji katika ujenzi wa uchumi na kuutokomeza umasikini."
[/FONT][/FONT]
Chanzo: Ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2010 - 2015
"Idadi ya wanafunzi wa shule za msingi imeongezeka kutoka milioni tatu na nusu mwaka 1995 na kufikia zaidi ya milioni saba na nusu mwaka 2005. Wakati huo huo wanafunzi wa shule za sekondari wameongezeka zaidi ya maradufu kutoka wanafunzi 190,000 mwaka 1995 hadi wanafunzi 520,000 mwaka wa 2005."
"CCM inapenda kutamka bayana majukumu mawili ya msingi. [FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma][FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma]Jukumu la kwanza ni kuitoa Tanzania kutoka kwenye dimbwi la uchumi ulio nyuma na tegemezi na kuiingiza katika mkondo wa uchumi wa kisasa wa taifa linalojitegemea[/FONT][/FONT]. jukumu hilo ni letu Watanzania[FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma][FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma]. [/FONT][/FONT]Wahisani wanatuunga mkono tu. [FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma][FONT=AHIFDO+Tahoma,Bold,Tahoma]Jukumu la pili ni kuwashirikisha wananchi wote kwa njia ya uwezeshaji katika ujenzi wa uchumi na kuutokomeza umasikini."
[/FONT][/FONT]
Chanzo: Ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2010 - 2015