Kwa upande wa sanaa anastahili kwakweli apewe tu. Huu unaitwa udaktari wa heshima hauna tatizo ni kutambua mchango wa ntu katika masuala fulani ya kijamii na kitaifa au kimataifa. Yeyote yule anaweza kufanya jambo likatambulika kijamii na kutunukiwa udaktari huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.