Tetesi: Tusubiri...na hili litapita tu....Tanzania yetu itabaki.

Tusubiri...na hili litapita tu....Tanzania yetu itabaki.

Hahahahahahahaaa
 
Uzushi wa aina hii utapita tu....tumezoea tungo hizi
 
Kwa upande wa sanaa anastahili kwakweli apewe tu. Huu unaitwa udaktari wa heshima hauna tatizo ni kutambua mchango wa ntu katika masuala fulani ya kijamii na kitaifa au kimataifa. Yeyote yule anaweza kufanya jambo likatambulika kijamii na kutunukiwa udaktari huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…