Wanasaikolojia wamebaini hatua 5 za majonzi baaa ya kupoteza mtu au kitu - mfano umefiwa, umepoteza mali/sifa/cheo. Hatua ya mwisho ni kukubaliana na hali. Katikati kuna hasira, kukataa uhalisia, kutafuta maelewano na msongo wa mawazo! Ktk siasa tupo stage ipi? [emoji851]#tutaelewanatu