Tutafika kweli kwa hali hii....

MR. DRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2011
Posts
637
Reaction score
122
Sijui ni maisha au nini!
Style za mahusiano siku hizi yanaenda kinyume nyume.

Kijana(ME) anataka aliyemzidi umri(JIMAMA/SUGARMUMMY) ajitimizie mahitaji yake.

Kijana(KE) anataka JIBABA(BUZI).

kwa hawa watu wazima unakuta wametengana au wapo na wenza wao.
Hivi makamu/umri aina wameisha?
Naweka.nukta
 
Mmomonyoko wa maadili uliochangiwa na utandawazi!
 
Tamaa ya mambo makubwa kuliko uwezo wao,
Kuendekeza njaa za kijinga na kutotaka kuwajibika na kufanikiwa kwa nguvu na jasho lao,
Kuiga na kufuata mikumbo hasa kwa watu maarufu au kutafuta umaarufu,
Kuendekeza tamaa ya ngono,starehe na anasa,
Hofu ya mungu imepungua sana.
 

sist upo?
 
Lakini ukifuatilia utaambiwa hata zamani ilikuwa hivyohivyo.
 
Zamani ilikuwa ni wanaume wazee wanawaoa mabinti wadogo. sasa vijana wamekasirika wanalipiza kisasi kwa kuwatoboa mama zao!
 
Aisee kweli zamani ilikuwa ukienda makanisani, bwana harusi uso umechoooka, bi harusi kibinti. Ukiuliza nini wanasema hali mbaya ya uchumi, vijana wadogo hawataki kuoa.

Kwanza naona sasa hivi mambo yamebadilika, watu wanaoana almost same age group.

Ila kwenye uzinzi ndo wanazini na wa umri mkubwa sana zaidi yao; sugar mummies na sugar daddies; si kwenye ndoa.

Zamani ilikuwa ni wanaume wazee wanawaoa mabinti wadogo. sasa vijana wamekasirika wanalipiza kisasi kwa kuwatoboa mama zao!
 

mkuu sio uzizi, nafikiri ni maumivu(hasira) y/za mapenzi ndo yanasababisha yote na kuona dogodogo au kubwa lao ndo kipoozeo cha moyo.nukta
 
Zamani ilikuwa ni wanaume wazee wanawaoa mabinti wadogo. sasa vijana wamekasirika wanalipiza kisasi kwa kuwatoboa mama zao!

kwamaana hiyo vijana wa sasa tunapenda kulelewa?.nukta
 

kwa kifupi unakuwa ni ulimbukeni sio.nukta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…