Tamaa ya mambo makubwa kuliko uwezo wao,
Kuendekeza njaa za kijinga na kutotaka kuwajibika na kufanikiwa kwa nguvu na jasho lao,
Kuiga na kufuata mikumbo hasa kwa watu maarufu au kutafuta umaarufu,
Kuendekeza tamaa ya ngono,starehe na anasa,
Hofu ya mungu imepungua sana.
Zamani ilikuwa ni wanaume wazee wanawaoa mabinti wadogo. sasa vijana wamekasirika wanalipiza kisasi kwa kuwatoboa mama zao!
Aisee kweli zamani ilikuwa ukienda makanisani, bwana harusi uso umechoooka, bi harusi kibinti. Ukiuliza nini wanasema hali mbaya ya uchumi, vijana wadogo hawataki kuoa.
Kwanza naona sasa hivi mambo yamebadilika, watu wanaoana almost same age group.
Ila kwenye uzinzi ndo wanazini na wa umri mkubwa sana zaidi yao; sugar mummies na sugar daddies; si kwenye ndoa.
Tamaa ya mambo makubwa kuliko uwezo wao,
Kuendekeza njaa za kijinga na kutotaka kuwajibika na kufanikiwa kwa nguvu na jasho lao,
Kuiga na kufuata mikumbo hasa kwa watu maarufu au kutafuta umaarufu,
Kuendekeza tamaa ya ngono,starehe na anasa,
Hofu ya mungu imepungua sana.