Utawala wa wenyewe kwa wenyewe, ndio DEMOKRASIA ASILI. SERIKALI YA WATU, KWA SJILI YA WATU NA IKISIMAMIWA NA WATU WENYEWE. LAKINI LEO, DEMOKRASIA IMEKUWA NI HAKI ZA WATU, WATOTO, WANAWAKE; NA UHURU WA MAGAZETI, NGONO ZEMBE N.K.
Enyi ndugu wa Moyoni. TUNATAKIWA TUTUMIE AKILI YA ZIADA.
Tambueni ya kwamba, HATA Katibu IPO. Haihitaji kuandikwa NA watu. Nayo ina IBARA saba rejea Ufunuo wa Yohana 1, 6, 12; katibu mwenza.
IBATA SABA:
1): UWEZA (UFALME) NA Leo zote za ulaya ya magharibi zina Ufalme, isipokuwa Ujerumani ina Rais wa kudumu NA Ufaransa ina Rais mwenye kupigiwa kura.
2): UTAJIRI {Kuzienzi SIRI ZA MBINGUNI NA ZA ARIDHINI}
3): HEKIMA {MIHIMILI YA NCHI MITATU YENYE DINI}
4): NGUVU {KALENDA YA UCJAGUZI ILIYOKUWEPO TANGU MBINGU NA ARDHI KUUMBWA}
5) HESHIMA {kuenzi MILA YA NABII IBRAHIMU NA KUIPIGIA KURA YA NDIO KATIBA HII}
6): UTUKUFU {KUSHIKA NJIA ILIYONYOOKA NA ILIYO SAWA} na
7): BARAKA {KUDUMISHA NJIA YA MANABII, MITUME, MASHAJIDI MA WAJA WEMA}.
KATIBA MWENZA Q15:87-
HALAFU KUJUA ELIMU YA URIA:
1)- JUZ'U YA 30, JUZ'U AMMA - mambo yaweje?
2)- JUZ'U YA 29 -TABARAKA - WATU WAWEZE KUBARIKIWA
3)- JUZ"U YA 28 QAD SAMIA - Jamii tuwe wasikivu.
Hivi ndivyo tuweze kujadiliana jinsi ya kufikia uhuru kamili. Nje ya Unabii, itaendelea KULA KWETU.
Aliye NA macho jaambiwi ONA.