THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 545
- 410
Jisemee wewe mwenyewe peke yako. Mfano mimi huwa sivutiwi na mwanamke mpenda pesa. Hata awe mzuri kiasi gani ananikeraa#### Wanaume katika jamvi tutafute hela aisee
week iliyopita nilimtext mpenzi wangu "mambo"
aisee nimekuja kujibiwa leo hii tena sasa hivi af tena ety "P"
nikaja kugundua labda hatuna helaa mpaka dakika hii nawaza nimjibuje.
Tatizo sio kuwa na hela tu. Je yupo kwenye wakati wako? Unaweza ukawa na hela ila demu akafanya vitu ambavyo ww hutarajii akufanyie.#### Wanaume katika jamvi tutafute hela aisee
week iliyopita nilimtext mpenzi wangu "mambo"
aisee nimekuja kujibiwa leo hii tena sasa hivi af tena ety "P"
nikaja kugundua labda hatuna helaa mpaka dakika hii nawaza nimjibuje.
Una DNA kama yangu mkuuJisemee wewe mwenyewe peke yako. Mfano mimi huwa sivutiwi na mwanamke mpenda pesa. Hata awe mzuri kiasi gani ananikeraa
Anakukera kwakua huna hela za kumpa na nikawaida ya binadamu kile tusichoweza lazima tukichukieJisemee wewe mwenyewe peke yako. Mfano mimi huwa sivutiwi na mwanamke mpenda pesa. Hata awe mzuri kiasi gani ananikeraa
Yupi bila pesa anawezaJisemee wewe mwenyewe peke yako. Mfano mimi huwa sivutiwi na mwanamke mpenda pesa. Hata awe mzuri kiasi gani ananikeraa
Wee hapo ni mpenzi mtazamaji shekheππππ#### Wanaume katika jamvi tutafute hela aisee
week iliyopita nilimtext mpenzi wangu "mambo"
aisee nimekuja kujibiwa leo hii tena sasa hivi af tena ety "P"
nikaja kugundua labda hatuna helaa mpaka dakika hii nawaza nimjibuje.
Motivation speaker πππSema hela hela hazitafutwi fanya kitu hela ikutafute yenyewe
Wengi tu. Mwenzio mpaka nashindwa nimchukue yupi na nimuache yupi.Yupi bila pesa anaweza
Tafuta pesa πππJisemee wewe mwenyewe peke yako. Mfano mimi huwa sivutiwi na mwanamke mpenda pesa. Hata awe mzuri kiasi gani ananikeraa
Pesa kiasi gani? Maana hata mtoto anayeenda chekechea anakuwa na pesa.Tafuta pesa πππ
Ukweli mchungu ππtutafute hela
Kwa akili yako. Hapo ndipo ulipofikia. Ila nikwambie tu hata mimi nilikuwa naamini hivyo mwanzo. Till recently nkaanza kupata pisi za kwenda na hazina shida kabisa na pesa yangu.Anakukera kwakua huna hela za kumpa na nikawaida ya binadamu kile tusichoweza lazima tukichukie
Ila ajatafuta...Pesa kiasi gani? Maana hata mtoto anayeenda chekechea anakuwa na pesa.
Kwa hiyo wewe huna hizo za kupata vitu muhimu?Ila ajatafuta...
Nazungumzia kutafuta zile za kuweza kupata vitu muhimu
Utaua kijanaπWee hapo ni mpenzi mtazamaji shekheππππ
Chache mno hizo nilizo nazo...Kwa hiyo wewe huna hizo za kupata vitu muhimu?