Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ana sema ana mpenzi ety....πππUtaua kijanaπ
No wonder you call yourself poor brain. Sasa nikushauri kitu kitakachokusaidia maishani. Hutokuja kumridhisha binadamu yeyote hapa duniani. Unachotakiwa kufanya ni kuji upgrade wewe mwenyewe na kuwa bora zaidi ya jana. Then the right ones will tag along. Hata uwe na hela vipi kama huyo mtu sio sahihi kwako utajitaftia pressure tu na tutakuzika siku si zako.Chache mno hizo nilizo nazo...
Nashukuru sana mkuu.No wonder you call yourself poor brain. Sasa nikushauri kitu kitakachokusaidia maishani. Hutokuja kumridhisha binadamu yeyote hapa duniani. Unachotakiwa kufanya ni kuji upgrade wewe mwenyewe na kuwa bora zaidi ya jana. Then the right ones will tag along. Hata uwe na hela vipi kama huyo mtu sio sahihi kwako utajitaftia pressure tu na tutakuzika siku si zako.
mjibu kwa muamala IMETHIBITISHWA π π
TUTAFUTE SANA HELA
Wanapalilia ndoa hao ingiza ndani ndo utajuaWengi tu. Mwenzio mpaka nashindwa nimchukue yupi na nimuache yupi.
wanakera kwa kweliJisemee wewe mwenyewe peke yako. Mfano mimi huwa sivutiwi na mwanamke mpenda pesa. Hata awe mzuri kiasi gani ananikeraa
Si unapiga chini unabeba mwingine!? Tabu ya nini?Wanapalilia ndoa hao ingiza ndani ndo utajua
kitanda hakikai kwenye konaππmjibu kwa muamala IMETHIBITISHWA π π
TUTAFUTE SANA HELA
na chumbani sio stoo na jiko πkitanda hakikai kwenye konaππ
Aisee!Jisemee wewe mwenyewe peke yako. Mfano mimi huwa sivutiwi na mwanamke mpenda pesa. Hata awe mzuri kiasi gani ananikeraa
Kutafuta Sio kupata kupata ni wakatmjibu kwa muamala IMETHIBITISHWA π π
TUTAFUTE SANA HELA
Sio mwanamke tu hata wanaume tunaipenda hela. Ukiwa na hela unajiamini. Angalia aliye reasonableAisee!
Kutafuta mwanamke asiyependa pesa ni sawa na kujaribu kuona pumb* za kuku
mkuu vipi, ulishamtafuta huyo manzi? ili nikupe nondo.#### Wanaume katika jamvi tutafute hela aisee
week iliyopita nilimtext mpenzi wangu "mambo"
aisee nimekuja kujibiwa leo hii tena sasa hivi af tena ety "P"
nikaja kugundua labda hatuna helaa mpaka dakika hii nawaza nimjibuje.
ni muhimu kutafuta bila kujali hayo ya wakati, huo wakati ukukute ukiwa unatafutaKutafuta Sio kupata kupata ni wakat