Tutafute pesa wakuu V8 sio gari za Serikali pekee

Tutafute pesa wakuu V8 sio gari za Serikali pekee

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
Kumekua nakamsemo mtaani haka kamsemo kamezoeleka sana Et V8 ni gari za Serkali

hapana hata wewe unaweza kumiliki tutafute pesa wakuu


bde83057fba56f1b9b876cf7ea7b579a2c1c7095.jpg
ee2869a73c07d91e7dcd3153e8d33009b9da15cf.jpg


Siku moja moja unaingia Showroom unaupiga mkwara umskini unauliza bei ikiwezekana unaipanda kabisa ndani.... Upatee Stimulation yake the way ndani ipojee...


Mara unaingia Be forward Unachek CF yake Hadi Bongo inakula how much milion....

OVER
 
Back
Top Bottom