Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Kwa mujibu wa takwimu za sasa za FAO, idadi ya watu wote duniani itafikia bilioni 9.1 ifikapo mwaka 2050, hii ni sawa na asilimia 34 ya ongezeko la ziada ya watu wote waliopo duniani kwa sasa.
Aidha, asilimia 70 ya watu wote duniani watakuwa wanaishi mjini tofauti na sasa ambapo ni asilimia 49 pekee.
Kwa makadirio, Tanzania itakuwa na idadi ya watu wanaozidi milioni 130. Idadi hii ni kubwa sana.
Kwa maoni yangu, ifikapo mwaka huo, Tanzania na dunia kwa ujumla zitakumbwa na changamoto kubwa zifuatazo;
Wewe unadhani matatizo yapi mengine yatatokea muda huo? Na nini tufanye kama taifa katika kuyakabili?
Ni maoni yangu tu. Siyo lazima uyakubali!
Aidha, asilimia 70 ya watu wote duniani watakuwa wanaishi mjini tofauti na sasa ambapo ni asilimia 49 pekee.
Kwa makadirio, Tanzania itakuwa na idadi ya watu wanaozidi milioni 130. Idadi hii ni kubwa sana.
Kwa maoni yangu, ifikapo mwaka huo, Tanzania na dunia kwa ujumla zitakumbwa na changamoto kubwa zifuatazo;
- Upungufu mkubwa wa chakula, maji na hewa safi
- Ongezeko kubwa la ukosefu wa ajira zaidi ya sasa
- Kuongezeka kwa vifo na utegemezi unaotokana na athari za magonjwa ya yasiyo ambukiza
- Kupanda mara dufu kwa gharama za maisha
- Kudodoka kwa mfumo wa elimu wa sasa, ambao kwa kiasi kikubwa haulengi kutatua changamoto zilizopo na zijazo
Wewe unadhani matatizo yapi mengine yatatokea muda huo? Na nini tufanye kama taifa katika kuyakabili?
Ni maoni yangu tu. Siyo lazima uyakubali!