"Tutajitosa": Namna Nyerere alivyobishana na Babu kuhusu Biafra mwaka 1968


Punguzeni uongo, huyo babu alikuwa ana toa siri za baraza la mawaziri kwa mtu Baki?. Huyo babu si alik
 
Mzee
Hiki kitabu kikitoka kitaweka kumbukumbu kubwa ya historia ya nchi yetu.

Tumechoka kusoma fabricated histories
 
Punguzeni uongo, huyo babu alikuwa ana toa siri za baraza la mawaziri kwa mtu Baki?. Huyo babu si alik
Kiapo cha kutotoa siri za Baraza la Mawaziri ni sahihi kiendelee kuwepo.

Basi Baraza la Mawaziri lisifanye mambo yanayoashiria kuwa wananchi wanaowaongoza ni wajinga.

Maslahi ya UMMA yawe ndiyo mwongozo wa maamuzi, vikao na siri za Baraza la Mawaziri
 
Umekosa hoja.
Hoja vipi njoo huku mtwara uulize alichotufanyia huyo nguruwe ilifikia hatua mpaka waislamu wakakusanyika uwanja wa mashujaa kusoma kisomo cha kumshtakia Allah dhidi ya dhulma na ukatili alioufanya huyo nguruwe pori mwaka 2012
 
Hoja vipi njoo huku mtwara uulize alichotufanyia huyo nguruwe ilifikia hatua mpaka waislamu wakakusanyika uwanja wa mashujaa kusoma kisomo cha kumshtakia Allah dhidi ya dhulma na ukatili alioufanya huyo nguruwe pori mwaka 2012
Naam, Mwenyezi Mungu hajatimiza kilio chenu, ina maana yupo kwenye haki zaidi yenu. Jifikirieni.
 
Naam, Mwenyezi Mungu hajatimiza kilio chenu, ina maana yupo kwenye haki zaidi yenu. Jifikirieni.
Hata Bush na Blair nao walisomewa Albadir na hawajadhurika,Ina maana nao walikuwa kwenye haki?
Au Albadiri ni mchongo tu usio na ukweli wowote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…