Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba gani huo mkuu?Mkataba uliisha mwaka 2022 lakini Kwa kuwa wajanja wamemzidi akili mama yetu,tusitegemee kuacha kutozwa tozo kwenye Hilo daraja
Hakuna anaetozwa akipita na miguu au baiskeli...wanatoza vyombo vya Moto kulipia maintenance na uchakavu..Mkataba uliisha mwaka 2022 lakini Kwa kuwa wajanja wamemzidi akili mama yetu,tusitegemee kuacha kutozwa tozo kwenye Hilo daraja
Mkopo gani huo? Nani alitoa mkopo? Na alitoa kwa nani?Au ndio serikali iteaendelea kututoza malipo kupita Kwenye Daraja hilo bila ya ukomo?
Maintanance ya Ubungo flyover inafanywa kwa pesa zipi?Kwani hata mkopo ukiisha ndo mpite bure? maintenance na taa zile bili alipe nani?...
Waendelee kutoza milele...hutaki kulipa pita na baiskeli au na miguu nibure