audax Medard
Member
- Mar 25, 2022
- 16
- 8
Ni kweli inasadikiwa dunia ina MATAIFA fulani fulani kama unatambua tutajie na faida zake.
Mimi naanza na Israel. Ni taifa la kwanza kwa kuingiza pesa za kitalii duniani.
Na ni watu hatari ktk vita yoyote ile duniani. Na ni maarufu kwa ujenzi aina ya nyumba za Ikulu na majengo yao hudumu. Na ni maarufu kwa ufugaji wa mifugo.
Ukipata bidhaa iliyo andikwa made in Israel ni ya gharama sidhani kama Tanzania inaweza kufika.
Naishia hapo leo
Mimi naanza na Israel. Ni taifa la kwanza kwa kuingiza pesa za kitalii duniani.
Na ni watu hatari ktk vita yoyote ile duniani. Na ni maarufu kwa ujenzi aina ya nyumba za Ikulu na majengo yao hudumu. Na ni maarufu kwa ufugaji wa mifugo.
Ukipata bidhaa iliyo andikwa made in Israel ni ya gharama sidhani kama Tanzania inaweza kufika.
Naishia hapo leo