TUTANI: Michoro (Floor plan) ya nyumba/vyumba vya kupangisha (Apartments)

Evans Richard Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2018
Posts
366
Reaction score
759
Ndugu wataalamu nimeambatanisha baadhi ya michoro mbalimbali ya nyumba/vyumba vya kupanga. Naomba Kwa mtaalamu yoyote aliye na sample zaidi za Floor plan ya nyumba au vyumba vya kupangisha atusaidie tutani. Ili tuongeze ujuzi na ubunifu katika ujenzi Wa nyumba/vyumba vyetu.

Nahitaji kufahamu michoro mizuri zaidi ya nyumba za kupanga inavyokuwa hata kwa michoro iliyokamilika (3D).

Muonekano wa Front View, Rear View inavyotakiwa kuwa Kwa Vyumba vya kupangisha vyenye Master bedroom only au vyumba zisivyokuwa na choo ndani.

Shukrani. [emoji120]
 
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165 napatikana Dar es salaam pia nna kampuni ya ujenzi lupama Engineering.
 
Nzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…