Tutasoma huku tumekaa chini Mpaka lini? Serikali haioni hili tatizo?

Tutasoma huku tumekaa chini Mpaka lini? Serikali haioni hili tatizo?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
stude.jpg

Mwalimu Samwel Nyamsangya, wa Shule ya Msingi Saranga iliyopo Kimara Temboni, jijini Dar es Salaam, akiwafundisha wanafunzi 200 wa darasa la pili jana huku wakiwa wameketi chini kutokana na ukosefu wa madawati. Shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 1,080.
 
italionaje huku watoto wao wanasoma ulaya na kwenye academies?
 
Mbona ticha kaulamba namna hii, alishtukia deal la picha nini?
 
Haya ni matatizo ya nchi yetu, nilidhani ni huku mikoani tu kumbe hata Dar matatizo haya yapo!
 
Back
Top Bottom