momara
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 463
- 491
Tumejitahid sana kuhamasishana na kujitokeza kuishangilia timu yetu ya taifa, huku tukijipa moyo kuwa Uganda hana cha kupoteza kw kuwa ameshafuzu. Nasikitika sana kuona siasa na ahadi nyingi kutoka kila upande mpaka unaweza kudhani ni pongez kw ushind baada ya ushindi kumbe la hasha. Muda mwingne nawaza pengine tumeinunua mechi kwaiyo uhakika wa kushinda upo kwaiyo watu ni kama tunaandaliwa kisaikolojia baada ya kuikosa fursa hiyo kwa miongo kadhaa. Ila kama itakuwa ni mchezo kama mchezo wa ushindani basi mechi itakuwa ngumu sana kwa upande wa stars hasa kw wachezaj kutokana na tension kubwa iliopo kw sasa ndani hadi nje ya uwanja. Pengine leo tushinde hii mechi ila ikiwa kinyume chake najiuliza hawa political figures na celebrities wataweka wapi sura zao na ili hali wanajua uwekezaj wetu kwenye soka ni wa kiwango gani. Hatujawekeza kwny soka na tunataka matokea kw hamasa tuu, hamasa haichez soka, soka ni uwekezaj.
Hembu wadau niishie hapo kwanza tukutane baada ya mechi ila nimeota stars kashinda kwa goli moja, ila bahat mbaya zaid ni kuwa ndoyo zangu zinakuwaga kinyme yaan
Tanz. 0 Ugn. 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Hembu wadau niishie hapo kwanza tukutane baada ya mechi ila nimeota stars kashinda kwa goli moja, ila bahat mbaya zaid ni kuwa ndoyo zangu zinakuwaga kinyme yaan
Tanz. 0 Ugn. 1
Sent using Jamii Forums mobile app