Tutazeeka ma bachela aisee

Tutazeeka ma bachela aisee

samsiz

Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
64
Reaction score
51
ule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.
 
ule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.
We utapiga puli hadi ukome, we unazani wote wenye wake wanakazi nzuri! Tatizo graduate unataka kazi nzuri, unatamani uwe na nyumba gari Kali hiyo iliishia miaka yetu ambapo tulikuwa tunapata kazi tukiwa mwaka wa mwisho chuoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.
Wanawake wa kuoa wapo Ila tatizo unataka wanawake wa mlimani city,ambao unakuta tiyari ampendeza ,baba hao wapo kimaslai zaidi unakuta mpaka ampendeza vile ni investment kafanya kuvutia ww na ukatoa pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We utapiga puli hadi ukome, we unazani wote wenye wake wanakazi nzuri! Tatizo graduate unataka kazi nzuri, unatamani uwe na nyumba gari Kali hiyo iliishia miaka yetu ambapo tulikuwa tunapata kazi tukiwa mwaka wa mwisho chuoni

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa mkuu huyu si aoe tu apambane na maisha au asubiri kazi?
Wanawake wa kuoa wapo Ila tatizo unataka wanawake wa mlimani city,ambao unakuta tiyari ampendeza ,baba hao wapo kimaslai zaidi unakuta mpaka ampendeza vile ni investment kafanya kuvutia ww na ukatoa pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee umaskini jehanamu ya kwanza acha niendelee kula kwa macho ,mana hata huyo maskini mwenzangu anakwambia "gari bovu haiwezi vuta gari bovu,"
najipanga niame dar mana huku kweli sio levo zangu nimepalamia.
 
mimi sio graduate wa chuo am just ahigh school gdt with no job no busness
 
ule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.
Yategemea na aina ya wanawake unaiwataka.. vijana wengi tynajisahau kuwa maisha yanatengenezwa na hata mwanamke anategenezwa tatizo wengi tyunataka readymade. Kwa namna hiyo tutapata tabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom